05CUBA
JF-Expert Member
- Apr 12, 2025
- 1,106
- 1,643
Mungu ameshauri watu wasioe / kuolewa ili kuepuka matatizo kwenye kitabu chake kinachoitwa biblia
1 Wakorintho 7:27-28 inasema
Ikiwa hujaoa, usitafute mke. Lakini ukioa, wala hujatenda dhambi. Na msichana ambaye hajawahi kuolewa akiamua kuolewa, hajafanya dhambi.
Lakini wale wanaooa au kuolewa wajue watakutana na matatizo katika maisha haya, nami nataka kuwaepusha na matatizo hayo.
Swali , kwa nini Mungu aseme hivyo?
Mwongo mkubwa umbwa ya mtaani pinga kristo.
1 Wakorintho 7:27-28
27
<Je, umeolewa? Usitafute kuachana. Je, umepata mke? Usimtafute mzalendo.>
28 Lakini ikiwa ukiachana, si dhambi; na ikiwa mtu hawezi kuhimili, aoe. Kwa maana ni bora kuolewa kuliko kuwa na moto.