MKATA KIU
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 3,481
- 8,582
Mungu ameshauri watu wasioe / kuolewa ili kuepuka matatizo kwenye kitabu chake kinachoitwa biblia
1 Wakorintho 7:27-28 inasema
Ikiwa hujaoa, usitafute mke. Lakini ukioa, wala hujatenda dhambi. Na msichana ambaye hajawahi kuolewa akiamua kuolewa, hajafanya dhambi.
Lakini wale wanaooa au kuolewa wajue watakutana na matatizo katika maisha haya, nami nataka kuwaepusha na matatizo hayo.
Swali , kwa nini Mungu aseme hivyo?
1 Wakorintho 7:27-28 inasema
Ikiwa hujaoa, usitafute mke. Lakini ukioa, wala hujatenda dhambi. Na msichana ambaye hajawahi kuolewa akiamua kuolewa, hajafanya dhambi.
Lakini wale wanaooa au kuolewa wajue watakutana na matatizo katika maisha haya, nami nataka kuwaepusha na matatizo hayo.
Swali , kwa nini Mungu aseme hivyo?