Maneno ya dhahabu kutoka kwa Husein Bashe

Maneno ya dhahabu kutoka kwa Husein Bashe

Nikweli kwann viongozi wa dini nao hawaongei ,na watu wazidi kupotea ,,,kweli tutafika japo kwa kuchoka sana
Kwa sababu hata wao wameshachoka kusema maana mwanzoni mwanzoni walianza kusema wakagundua kuwa hoja zao hazifanyiwi kazi.

Acha twende ivo ivo lakini tuishinde dhambi ya woga.
 
Huyo mbona anajulikana kuwa hana mkia. Ni vema hawa wanasiasa wakawa makini na matamko hao.

Tamko gan?

Unaelewa maana ya tamko?

Bashe katoa ya moyoni jinsi binadamu wenzake wanavyopotea katika mazingira ya kutatanisha....

Wewe huna moyo wa huruma kwa wenzako?
 
Kwa sababu hata wao wameshachoka kusema maana mwanzoni mwanzoni walianza kusema wakagundua kuwa hoja zao hazifanyiwi kazi.

Acha twende ivo ivo lakini tuishinde dhambi ya woga.

Mkulu aligoma kuwakaribisha ikulu viongozi wa dini sasa hapo unategemea nn?
 
Ni kweli ila haya yote yana mwisho ,,,na dhambi ys uoga ni mbaya Sana unakua mtumwa kwakila jambo
 
Inaeleweka ukawa wanamkubali bashe chochote asemacho kwakuwa tu bashe ni team mamvi....hilo ni dhahiri!
Hata hivyo muda sio mrefu naye atavurumushwa kumfata bwanake alipo sasa.
... Ukisoma hii post kitu cha kwanza kubaini ni kwamba aliyeiandika hawezi kuitumia akili yake kufanya independent analysis bali ni ushabiki na bendera fuata upepo. Bashe ni miongoni mwa very smart MPs from ccm block, na kwa kuwa viongozi wetu hawapendi smart and clever MPs hawezi kuukwaa uwaziri or other posts, Infact sitashangaa 2020 kwenye party nomination kufanyiwa zengwe. But kwa kuwa ni potential akifanyiwa hiyo figisu then he should follow Bulaya's approach.
 
Kwa nini maneno kama haya hawayasemi kwenye right platforms?!?!? Party caucuses NA na kwenye CC or NEC?
... Yaani mtu kupotea leo asubiri mpaka kikao cha chama mwakani?? Si itakuwa si habari tena? Mbwa akipigwa fimbo kwa kutaka kuingia msikitini ujue hatarudia tena kosa hilo kwani ameadhibiwa at the right time.
 
Bongo imekuwa kama Colombia, Bolivia au Mexico.. Watu wanatekwa kirahisi sana, kuliko hata JB anavyotekwaga kwenye filamu za bongo movie.. Na maisha yanaendelbea.. Tanzania imegeuka TANZAGIZA.. Yaani imefikia kipindi mtu hata ukichelewa kurudi kazini familia yako inaanza kulia.. Faru John ni mnyama.. Lakini baada ya kupotea aliundiwa tume kujua yupo wapi? kwa nani?! na anafanya nini?!.
(Kufuru hii)...

Au sababu anafanana na jina la mtawala?!..Jibu baki nalo.. Binadamu wanapotea, wengine wanazikwa kikatili ndani ya mifuko ya sandarusi.. Bila hata takbirah au sala ya baba yetu..Na hakuna tume yoyote inayoundwa..

Hii amani bandia iliyopo leo siku ikipotea. Tutaitafuta kama cheti cha form four cha Daud Albert bashite.. Na hatutaiona kamwe.. [HASHTAG]#Haki[/HASHTAG] na usawa kwa watu wote.. Ndio mlinzi bora wa amani kuliko hata bunduki mabomu na vita. Tusiichezee amani.

Mrudisheni Roma bhana.. Mimi nipo kusoma biblia hapa. Mithali imeandika.. Mkuu aliyepungukiwa akili uwaonea watu sana.
 
kila mtu anabweka ooh vyombo vya usalama,wakati amiri jeshi mkuu anajulikana.Bwekea amiri jeshi mkuu kama mna uhakika na mlisemalo mnatupotezea muda na viji tweet vya kutafuta kiki
... What is kiki? You are miss using the word maana Kila kitu Kiki, kiki, kiki Aaah... Too much, too much
 
VIONGOZI WA DINI MKO WAPI, MMEKAA KIMYA, KONDOO WA MUNGU WANAPOTEA, KANISANI WATAKUJA AKINA NANI? MISIKITINI WATAKWENDA AKINA NANI, MLAANIWE! MUNGU ANAWAONA
Wanafiki wale, Nakumbuka Papa alise bora Wapagani wasio mjua Mungu kuliko wakristo wanafiki.

Hakuna watu wanafiki kama Watu wa dini asikuambie mtu
 
Kanisa limebaki la Gwajima mengine yote weka ndani na BAKWATA ni mifuko ya mbele ya viongozi
 
Inaeleweka ukawa wanamkubali bashe chochote asemacho kwakuwa tu bashe ni team mamvi....hilo ni dhahiri!
Hata hivyo muda sio mrefu naye atavurumushwa kumfata bwanake alipo sasa.
Sasa akili kama yako hii kwanini Tz isiendelee kuwa maskini kwa kila kitu (hata akili)
 
VIONGOZI WA DINI MKO WAPI, MMEKAA KIMYA, KONDOO WA MUNGU WANAPOTEA, KANISANI WATAKUJA AKINA NANI? MISIKITINI WATAKWENDA AKINA NANI, MLAANIWE! MUNGU ANAWAONA
Umeharibu mwisho
 
roma ni mwanamuziki...ben ni kiongozi wa chadema
Ben hakuwa kiongozi wa chadema bali msaidizi binafsi wa Mbowe.Pia hata kama Bashe hakulizungumzia hilo haliondoi unafuu Bashe alionao wakusimama kama mtu huru asie nachama huku akiwa mwanasisiemu.
 
Hawa wasanii walivyo makondoo 2020 utasikia wanaimba iyena iyena. Hizi tabu zote watakuwa wamezisahau baada ya kupewa t-shirts na kofia
 
Ben hakuwa kiongozi wa chadema bali msaidizi binafsi wa Mbowe.Pia hata kama Bashe hakulizungumzia hilo haliondoi unafuu Bashe alionao wakusimama kama mtu huru asie nachama huku akiwa mwanasisiemu.
unamfahamu aliyekuwa mkurugenzi wa sera na utafiti wa CHADEMA?
 
Back
Top Bottom