Maneno ya dhahabu kutoka kwa Husein Bashe

Maneno ya dhahabu kutoka kwa Husein Bashe

VIONGOZI WA DINI MKO WAPI, MMEKAA KIMYA, KONDOO WA MUNGU WANAPOTEA, KANISANI WATAKUJA AKINA NANI? MISIKITINI WATAKWENDA AKINA NANI, MLAANIWE! MUNGU ANAWAONA
Dini gani mkuu? Wamejiunga na dini ya utekaji. Hutawasikia hapa. Nimeacha kabisa kuwaheshimu viongozi wa dini.
 
Bashe is indeed an icon,hata Mungu atakuwa upande wakowananiudhi mibunge ya ccm. kutojari uhai wa mtu
 
Dini gani mkuu? Wamejiunga na dini ya utekaji. Hutawasikia hapa. Nimeacha kabisa kuwaheshimu viongozi wa dini.
Mimi siendi kanisani kuhubiriwa na wanafiki hawa! Nitasali chumbani kwangu. Wakae na bashite wao wapumbavu na malofa
 
VIONGOZI WA DINI MKO WAPI, MMEKAA KIMYA, KONDOO WA MUNGU WANAPOTEA, KANISANI WATAKUJA AKINA NANI? MISIKITINI WATAKWENDA AKINA NANI, MLAANIWE! MUNGU ANAWAONA

Roma, Dkt Magufuli, Makonda na Freeman Mbowe wote ni Wakatoliki,

Tuliwaona Jumatano ya Majivu Kanisani kipindi hiki wapo kwny Kwaresma!

Muadhama awaite Kanisani awasuluhishe na aamuru Igizo la kutekwa Roma limalizwe
 
Bashe ni kijana anayejitambua na hajali tumbo, njaa kwa msomali ni kitu cha kawaida.

Hawa jamaa nimeishi nao sana Arusha NA Tanga, wana umoja msimamo NA hawaogopi kusema ukweli.

I believe hata mafunzo ya baba take ni mazuri kwani ni mtu wa dini NA ni MPenda haki.

Ningefurahi NA nchi yangu ingefaidika kama wabunge wengi wangekuwa kama Bashe, yeye hatukani wala hafanyi vurugu yeye ni mtu kwenye ajenda.
 
Bashe ni kijana anayejitambua na hajali tumbo, njaa kwa msomali ni kitu cha kawaida.

Hawa jamaa nimeishi nao sana Arusha NA Tanga, wana umoja msimamo NA hawaogopi kusema ukweli.

I believe hata mafunzo ya baba take ni mazuri kwani ni mtu wa dini NA ni MPenda haki.

Ningefurahi NA nchi yangu ingefaidika kama wabunge wengi wangekuwa kama Bashe, yeye hatukani wala hafanyi vurugu yeye ni mtu kwenye ajenda.

Hussein Bashe ni Kivuli cha Rostam Abdulrasuul Aziz
 
Watu wote wako huru kwa mujibu wa katiba ya JMT. Tofauti kati ya wengi na Bashe kiwangu cha utabuzi wa hiyo HAKI ya kuwa huru. Better still, inawezeka mtu akajua yuko huru na akajua kuwa hiyo ni haki ya msingi ya kila "bin Adam" lakini kwa sababu utisho ulio kwenye mfumo wa utawala, akaamua kuwa mwoga.

Katika nchi hii wako wachache sana wa aina ya Bashe, Lema, Lisu, Mdee na kadhalika; lakini aina ya hao ndo wanahitajika zaidi iki kuleta mabadiliko ya kweli!

Mungu ibariki JMT!

WANAOHITAJIKA NI AINA YA BASHE NA MNYIKA HAO WENGINE NI MADEBE MATUPU NA ENCYCLOPEDIA ZA MATUSI NA UBISHI.
 
Mimi siendi kanisani kuhubiriwa na wanafiki hawa! Nitasali chumbani kwangu. Wakae na bashite wao wapumbavu na malofa
Mwamini na muabudu Mungu mkuu lakini Hawa watu sio wa kuwaamini kabisa.
 
Nikivuli kwa ukaribu waliokuwa nao au walionao.Lakini sikivuli kwa mitazamo yao au matendo yao(KWA SASA) .

Baada ya Lowassa kukatwa Dodoma aliemkodishia Ndege haraka haraka usiku Ngoyai ili asiweke Msimamo kwa Wajumbe wa NEC wa Kambi yake ni Bashe na alifanya vile kwa Maelekezo ya Rostam jee unajua ni kwa nini?

Siasa za Tanzania ni za aina yake Ndugu yangu usiishie ku conclude kwa kusoma Tweets zao tu!
 
Baada ya Lowassa kukatwa Dodoma aliemkodishia Ndege haraka haraka usiku Ngoyai ili asiweke Msimamo kwa Wajumbe wa NEC wa Kambi yake ni Bashe na alifanya vile kwa Maelekezo ya Rostam jee unajua ni kwa nini?

Siasa za Tanzania ni za aina yake Ndugu yangu usiishie ku conclude kwa kusoma Tweets zao tu!
Mkuu kunaushahidi wayote juu unayoyasema?.Nafahamu kama ni za aina yake lakini sikubaliani na wewe juu ya Bashe wasasa,kwangu ndio mbunge bora kabisa miongoni mwa wabunge tulionao sasa.Labda kwa hapo baadae ntabadili msimamo wangu kama akionyesha mabadiliko hasi.
 
Katika wabunge woote wa ccm Bashe ndiye anasimama na haki na ukweli. Mungu akulinde bro.
 
Back
Top Bottom