Mwanapropaganda
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 4,235
- 2,512
Ingekuwa ni awamu ya JK maaskofu wangeanza kutoa matamko ya kulaani na kulaumu serikali haichukui hatua, ila kwa kuwa muislam JK ameshastaafu wameona wakae kimya.VIONGOZI WA DINI MKO WAPI, MMEKAA KIMYA, KONDOO WA MUNGU WANAPOTEA, KANISANI WATAKUJA AKINA NANI? MISIKITINI WATAKWENDA AKINA NANI, MLAANIWE! MUNGU ANAWAONA