Maneno ya dhahabu kutoka kwa Husein Bashe

Maneno ya dhahabu kutoka kwa Husein Bashe

Bashe ana akili tofauti na misukule(wabunge wa ccm.
 
Nikweli kwann viongozi wa dini nao hawaongei ,na watu wazidi kupotea ,,,kweli tutafika japo kwa kuchoka sana
 
VIONGOZI WA DINI MKO WAPI, MMEKAA KIMYA, KONDOO WA MUNGU WANAPOTEA, KANISANI WATAKUJA AKINA NANI? MISIKITINI WATAKWENDA AKINA NANI, MLAANIWE! MUNGU ANAWAONA
Gwajima yupo busy na vyeti kamanda
 
Bashe naye ni jipu. Kama wamegombania mwanamke huko wakatekana wenyewe je? Sio busara kukurupuka na lawama kwa dola wakati hakuna mazingira yoyote yanayoashiria uadui wa roma na serikali hadi wamfanyie hayo.
 
VIONGOZI WA DINI MKO WAPI, MMEKAA KIMYA, KONDOO WA MUNGU WANAPOTEA, KANISANI WATAKUJA AKINA NANI? MISIKITINI WATAKWENDA AKINA NANI, MLAANIWE! MUNGU ANAWAONA

Kazi yao ni kukusanya sadaka tu,usalama ni juu yako na Mungu wako.
 
View attachment 492401 Tunahitaji watu huru kama Bashe ili Tz yetu iendeIee na sio wafia vyama.
Watu wote wako huru kwa mujibu wa katiba ya JMT. Tofauti kati ya wengi na Bashe kiwangu cha utabuzi wa hiyo HAKI ya kuwa huru. Better still, inawezeka mtu akajua yuko huru na akajua kuwa hiyo ni haki ya msingi ya kila "bin Adam" lakini kwa sababu utisho ulio kwenye mfumo wa utawala, akaamua kuwa mwoga.

Katika nchi hii wako wachache sana wa aina ya Bashe, Lema, Lisu, Mdee na kadhalika; lakini aina ya hao ndo wanahitajika zaidi iki kuleta mabadiliko ya kweli!

Mungu ibariki JMT!
 
Inaeleweka ukawa wanamkubali bashe chochote asemacho kwakuwa tu bashe ni team mamvi....hilo ni dhahiri!
Hata hivyo muda sio mrefu naye atavurumushwa kumfata bwanake alipo sasa.
kwa nini useme bwana wake kwa maneno ya bashe amekosea nini wewe msukule huna akili nyoka wewe
 
Huyu nae aendelee hivihivi,asije rogwa akajaribu kuwakosoa Chadema,ndo itakua kiama chake.
Hua hawakoseagi hao,they always right in everything like the creator, GOD.
 
Inaeleweka ukawa wanamkubali bashe chochote asemacho kwakuwa tu bashe ni team mamvi....hilo ni dhahiri!
Hata hivyo muda sio mrefu naye atavurumushwa kumfata bwanake alipo sasa.
Kwa hiyo wewe huoni hoja unaona siasa za upinzani tu!! Wa aina yako hawawezi kutufikisha kwenye tanzania ya viwanda. Badilika!
 
VIONGOZI WA DINI MKO WAPI, MMEKAA KIMYA, KONDOO WA MUNGU WANAPOTEA, KANISANI WATAKUJA AKINA NANI? MISIKITINI WATAKWENDA AKINA NANI, MLAANIWE! MUNGU ANAWAONA
Walianza kwa wanasiasa,
Wakaja kwa Wanamziki,
Sasa Ninyi Viongozi wa Dini zamu yenu inakuja..........nasi tutakaa kimya,
Kisha wakimaliza koooote,wanarudi kwa Wana CCM.
Time will tell.
[HASHTAG]#freeRoma[/HASHTAG]
 
Maneno ya kuishiwa hayo
Siku utakapo kutwa utasema hayo na utayatafuta maneno ya kuishi wa.

Ila imeandikwa ..."Ole wake amwabudiye mwanadamu"

Endelea kumuabudu Mkullu kuna siku haina SAA wala tarehe yaja.Endeleeni kutesa watoto wa wenzenu mkidhani wa kwenu wako salama maana wanauwezo wa kupewa vitu vya Ubunge kwa njia yeyote ya Ngono au ya pesa,ila ole wenu.
 
Inaeleweka ukawa wanamkubali bashe chochote asemacho kwakuwa tu bashe ni team mamvi....hilo ni dhahiri!
Hata hivyo muda sio mrefu naye atavurumushwa kumfata bwanake alipo sasa.
james delicious type [emoji41]
 
Back
Top Bottom