Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 37,244
- 55,833
- Thread starter
- #61
Kuna ujumbe mzito sana hapo mkuu,ila wanauchukulia vibayaMungu:adamu utakula kwa jasho na wewe Hawa utazaa kwa uchungu haya nendeni mkaijaze dunia huko
Kuna ujumbe mzito sana hapo mkuu,ila wanauchukulia vibayaMungu:adamu utakula kwa jasho na wewe Hawa utazaa kwa uchungu haya nendeni mkaijaze dunia huko
Vipi mkuu,karibu kijiweni....
We jamaa bhana
Na kasi ya kupewa papuchi ipunguweTunataka tudekezwe...na majukumu yapungue
ha ha ha ha kwa sababu utakuwa na hisia utakuwa unaileta mwenyeweNa kasi ya kupewa papuchi ipunguwe
ha ha ha hawataki kuambiwa ukweli
ha ha ha ha kwa sababu utakuwa na hisia utakuwa unaileta mwenyewe
ha ha ha haMakonda aliangalie hili swali hawa omba omba hawana tofauti na wale wa barabarani sema wao wanafanya kidigital kidogo upitishwe mswada warudi vijijini kulima.
ha ha ha maamuzi ni ya kwako mkuuSasa hivi me ntakwenda kuoa wale wauza maandazi,tena wanaheshima sana
Hawa wengine wote hovyo tu papuchi mileage zinasoma kilometa laki mbili,wengine hadi threesome tayariiha ha ha maamuzi ni ya kwako mkuu
ha ha ha haHawa wengine wote hovyo tu papuchi mileage zinasoma kilometa laki mbili,wengine hadi threesome tayarii
Vipi mkuu,karibu kijiweni....
Sawa mkuu,uzalendo kwanza.Geography is a destination Mkuu
We will marry our African women particularly Tanzanians women
Ushoga sio utamaduni wa jamii yeyote ile hapa Duniani, ni tabia ya mtu binafsi anyeishi ndani ya jamii fulani.Ukioa ngozi ya kitimoto utapata taabu sana kwa kuishi kwa shinikizo la utamaduni tofauti na wa kwetu.
Mfano kuna jamaa mmoja mtanzania alioa mwanamke wa Sweden amezaa nae watoto watatu, wawili wa kiume na mmoja wa kike. Kijana wake wa kiume wa kwanza kuzaliwa ni shoga na mama yake na ndugu wote upande wa mama wanamsapoti ila baba hapendi. Hali hiyo imesababisha ugomvi na mgogoro mkubwa sana katika ndoa yao
Ushoga ni tabia sio utamaduni.Nimekuelewa mkuu,changamoto ni tamaduni tu
Acha kupotosha ndugu. Wazungu wanasapoti ushoga kwa nguvu zote, Afrika bado mashoga wanapata taabu sana hawasapotiwi kama kwa wazunguUshoga sio utamaduni wa jamii yeyote ile hapa Duniani, ni tabia ya mtu binafsi anyeishi ndani ya jamii fulani.
Sasa mnataka tuwategemee wazazi kwan ndo tunaowakatikia viuno?
Ushoga ni tabia ya roho ovu ni kama ulivyo wizi! Na ushoga unapata saport na wenyewe nguvu wa dunia kwa sababu wenyewe mungu wao ni Lucifer! Shetani anataka watu wa dunia hii wapotee kama yeye alivyo potea.Acha kupotosha ndugu. Wazungu wanasapoti ushoga kwa nguvu zote, Afrika bado mashoga wanapata taabu sana hawasapotiwi kama kwa wazungu
Narudia tena kukwambia ushoga ni tabia na sio utamaduni.Acha kupotosha ndugu. Wazungu wanasapoti ushoga kwa nguvu zote, Afrika bado mashoga wanapata taabu sana hawasapotiwi kama kwa wazungu