Maneno ya busara kwa wanaume

Maneno ya busara kwa wanaume

Tulikuaa under 18 ni jukumu lao kimazoea na kisheria pia

Baada ya hapo ni jukumu la mwanaume tofauti na mzazi wako
ha ha ha kwa hiyo mume inabidi agaramie ukataji wa viuno;sasa kama viuno havizungushwi ipasavyo
 
Kutongoza binti wa kiafrika ni sawa na kujibebesha gunia la misumari kichwani;majukumu yote ya wazazi wake au yale ya kwake utaamishiwa wewe, haijalishi kama ana kazi au hana kazi.Nashauri vijana wenzangu kama unaweza kwenda kuoa ng'ambo nendeni,huku kwetu kuwa mwanaume ni mateso.
Mapenzi na shule havioani.
 
Olewa kabisa na wewe uhudumiwe kama hutaki majukumu.
Kutongoza binti wa kiafrika ni sawa na kujibebesha gunia la misumari kichwani;majukumu yote ya wazazi wake au yale ya kwake utaamishiwa wewe, haijalishi kama ana kazi au hana kazi.Nashauri vijana wenzangu kama unaweza kwenda kuoa ng'ambo nendeni,huku kwetu kuwa mwanaume ni mateso.
 
Mwanaume anayejitambua haombwi pesa na mwanamke unakuta anawajibika mwenyewe kimya kimya Mungu akubariki baba..akujaze palipo pungua eeh roho wa bwana akuguse tena unikumbuke..
 
Mwanaume anayejitambua haombwi pesa na mwanamke unakuta anawajibika mwenyewe kimya kimya Mungu akubariki baba..akujaze palipo pungua eeh roho wa bwana akuguse tena unikumbuke..
ha ha ha ha
 
Mungu:adamu utakula kwa jasho na wewe Hawa utazaa kwa uchungu haya nendeni mkaijaze dunia huko
 
Olewa kabisa na wewe uhudumiwe kama hutaki majukumu.
ha ha ha ha wengine kutongoza weusi wanashindwa je kwa weupe wataweza kweli,mbali na lugha,exposure n.k
 
Kutongoza binti wa kiafrika ni sawa na kujibebesha gunia la misumari kichwani;majukumu yote ya wazazi wake au yale ya kwake utaamishiwa wewe, haijalishi kama ana kazi au hana kazi.Nashauri vijana wenzangu kama unaweza kwenda kuoa ng'ambo nendeni,huku kwetu kuwa mwanaume ni mateso.


We jamaa bhana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom