Maneno ya busara kwa wanaume

Maneno ya busara kwa wanaume

Nimekuelewa mkuu,changamoto ni tamaduni tu
Si tamaduni tu, kuna ubaguzi wa rangi, kudharauliwa bila sababu za msingi na ukandamizwaji wa utu, nenda kwao utaonekana wewe ni tofauti na wao- wewe ni mweusi ( mchafu/ huogi), huwezi kutoa mchango wa mawazo ukakubalika moja kwa moja, matatizo ni mengi sana
 
Si tamaduni tu, kuna ubaguzi wa rangi, kudharauliwa bila sababu za msingi na ukandamizwaji wa utu, nenda kwao utaonekana wewe ni tofauti na wao- wewe ni mweusi ( mchafu/ huogi), huwezi kutoa mchango wa mawazo ukakubalika moja kwa moja, matatizo ni mengi sana
ha ha ha na hasa wakijua umetoka 'dark continent'
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom