ha ha ha ha wengine kutongoza weusi wanashindwa je kwa weupe wataweza kweli,mbali na lugha,exposure n.k
Sasa kama ulikuwa hujui kutongoza mzungu ni rahisi kuliko hata hawa wakina mwajuma wetu. Mimi nime prove hii kitu tena mwanzoni mwa mwaka jana tu, kuna kiwanja kimoja kinaitwa The Cask wazungu wanapatembelea sana.
Hapo nimeshapiga zangu vyombo naangalia meza ya jirani naoana mademu wawili ngozi nyeupe wamepigwa doro tu, ikabidi nivute kiti karibu yao, maongezi yakawa kama ifuatavyo...
MIMI: Mamboo... I see you guys are having a drinks, can I join you if don't mind?
WAO: (wakatabasimu kwanza).. yes it is okay
MIMI: thanks, can we know each while enjoying our drinks? please.
WAO:Yes no problem.
MIMI: Where do you guys come from? as for me this is my native land.
WAO: Germamy and we are here to spend our holiday.
MIMI: What do you enjoy most in our country?
WAO: whether, it is good here compared to that we left at home!
MIMI: I am just overwhelmed with your kindness, I have never met a strangers with such humility, you guys are so cool my hope we're going to be very good friends.
WAO: thanks,
MIMI: it has been nice having funny with you this time, so please give me your contact we can share good moment together next time.
WAO: my name is Silvian and this is my email, you can write my number too.
Na stori zangu na wao zikaishia hapo kwa siku hiyo... nimewasiliana nao sana na mmoja alielekea kukubali kuwa demu wangu sema mambo ya distance.
Sasa njoo kwa hawa ngozi nyeusi tulionao bongo hapa..
kwanza kuitikia salamu tu limtu linaitikia kwa nyoodo utafikiri linachambia asali. Haya sasa lifuate uliombe hata namba ya simu ndio kabisa utajutaa, huu ni mfano tu angalia hapa...
MIMI: Dada mambo? umendeza kweli na hiyo T-shirt yako.
LENYEWE: Poa, ila T-shirt yangu haikuhusu.
MIMI: yaani imekupendeza kweli, ningekuwa napajua unapoishi ningekuja uniazime jumapili niende nayo kanisani rafiki.
LENYEWE: (Kimyaa)
MIMI: halafu Nina jambo la msingi kweli ningependa kukwambia ukiwa umetulia, kama hutojali nipate namba yako ya simu.
LENYEWE: jambo gani? niambie hapa hapa.
MIM: ni jambo la faragha kidogo, we nipatie namba yako ntakwambia baadae.
LENYEWE: Bana kama huwezi kuniambia hapa hapa achana na mimi.
Hivi ndivyo jinsi midada ya kibongo inavyo behave pale unapojaribu kui-approach halafu unasema kuitongoza rahisi... khaa!! tena Mimi naona hata wadada wa kikenya wako approachable kuliko hawa wetu.