Maneno na kauli za Masikini wanapojifariji

Maneno na kauli za Masikini wanapojifariji

The Mongolian Savage

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2018
Posts
9,251
Reaction score
20,486
Faraja ya maskini ni tajiri akipata masahibu.

Kuna kauli za maskini wanapotafutaga
faraja.

1.Utaondoka na kuziwacha.
2.Hata mbuyu ulianza kama mchicha
3. Leo kwangu kesho kwako.
4. Licha ya mihela yako bado unagongewa mke

Endelea.......
 
IMG_8528.jpg
 
Back
Top Bottom