Kongosho JF-Expert Member Mar 21, 2011 35,999 24,175 Oct 23, 2012 #81 hakuna neno la maana lolote kama halitoki rohoni, wizi mtupu. 'Nakupenda hadi nikilamba mchanga nausikia mtamu kama sukari.' haisaidii wala
hakuna neno la maana lolote kama halitoki rohoni, wizi mtupu. 'Nakupenda hadi nikilamba mchanga nausikia mtamu kama sukari.' haisaidii wala
FirstLady1 JF-Expert Member Jul 29, 2009 16,792 5,375 Oct 23, 2012 #82 Gosbertgoodluck said: Naanza na: "Ninapokuwa mbali nawe ndipo hubaini pasipo mashaka kuwa hakika maisha yangu hayana maana pasipo wewe mpenzi wangu". Wataalam wa mambo haya tuendeleze. Click to expand... duuh .... kaazi kweli kweli ..
Gosbertgoodluck said: Naanza na: "Ninapokuwa mbali nawe ndipo hubaini pasipo mashaka kuwa hakika maisha yangu hayana maana pasipo wewe mpenzi wangu". Wataalam wa mambo haya tuendeleze. Click to expand... duuh .... kaazi kweli kweli ..
Tutor B JF-Expert Member Jun 11, 2011 9,025 6,554 Oct 23, 2012 #83 Gosbertgoodluck said: Nami nimeshangaa sana. Tumsamehe labda amekurupuka tu au hajui anachochangia. I am sorry to say so. Click to expand... Hana mpenzi huyo - hachana naye! labda ni maksai
Gosbertgoodluck said: Nami nimeshangaa sana. Tumsamehe labda amekurupuka tu au hajui anachochangia. I am sorry to say so. Click to expand... Hana mpenzi huyo - hachana naye! labda ni maksai
neggirl JF-Expert Member Jul 30, 2009 4,843 2,117 Oct 23, 2012 #84 Gaijin said: Yaani mfundishane ubazazi wakati hata hayo maneno hamuyamaanishi! Click to expand... hihi hihiiiiiii
Gaijin said: Yaani mfundishane ubazazi wakati hata hayo maneno hamuyamaanishi! Click to expand... hihi hihiiiiiii
Masoud Bakari New Member Jan 10, 2016 2 0 Jan 13, 2016 #85 Uzuri wako mpezni ni sawa sawa n mwezi kumi na mbili unaonekana ktk umbo lake halisi usiozibwa n mawingu na mapenzi yako kwangu ni sawa sawa na chemchem iloibuka ghafla jangwani mbele ya mtu ambae aliekalibia kufa kwa ajili ya kiu kikali sana
Uzuri wako mpezni ni sawa sawa n mwezi kumi na mbili unaonekana ktk umbo lake halisi usiozibwa n mawingu na mapenzi yako kwangu ni sawa sawa na chemchem iloibuka ghafla jangwani mbele ya mtu ambae aliekalibia kufa kwa ajili ya kiu kikali sana
Evelyn Salt JF-Expert Member Jan 5, 2012 63,680 112,871 Jan 13, 2016 #87 "Bae twende tukatoe hela kwa wakala"
Evelyn Salt JF-Expert Member Jan 5, 2012 63,680 112,871 Jan 13, 2016 #88 Sweet moment Attachments 12461698_1527814830844301_15714738_n.mp4 1.1 MB · Views: 94
A Abdul-k New Member Oct 8, 2018 1 0 Oct 13, 2018 #91 sky_haf said: hivi ni maneno gani mwanamke anapenda kuyasikia zaidi kutoka kwa mpenzi wake...? Click to expand... huwa mwanamke anapeda kusifiwa kila mara m.f "kuwa mbali n mimi haimanishi hauko akilini mwangu,umeniganda moyoni kama damu mwilini..
sky_haf said: hivi ni maneno gani mwanamke anapenda kuyasikia zaidi kutoka kwa mpenzi wake...? Click to expand... huwa mwanamke anapeda kusifiwa kila mara m.f "kuwa mbali n mimi haimanishi hauko akilini mwangu,umeniganda moyoni kama damu mwilini..