Jah People ana penda wadada wenye wowowo yaani sijawahiku kumdekishia akiwa na akina betina yeye ni ngongingo kwa kwenda mbele utafikiri katoka ngambo bwana. kuna siku nimemkuta pale hoteli ya Mzalendo amehifadhi Banana zake kwenye mfuko wa Rambo amegiza ubeche yupo na kishtobe aliyepiga losso chini na ukimcheki juu Shem wetu kapiga Chillimen na mkanda wa kipepeo afu juu kanyosha nyele zake na kibanio ananukia Yolanda na anagaa kwa kupiga Rays............. Zamani jamani raha tupu afu watu walikuwa sio wanyimi!!!!!