Du mmenikumbusha zamani wazee.
Haya machache mengine.
Danga chee
Demu
Kiduchu
kula mboko
Mwanasesere
Mabobish
Chai maharage
Kipira
Jah People ana penda wadada wenye wowowo yaani sijawahiku kumdekishia akiwa na akina betina yeye ni ngongingo kwa kwenda mbele utafikiri katoka ngambo bwana. kuna siku nimemkuta pale hoteli ya Mzalendo amehifadhi Banana zake kwenye mfuko wa Rambo amegiza ubeche yupo na kishtobe aliyepiga losso chini na ukimcheki juu Shem wetu kapiga Chillimen na mkanda wa kipepeo afu juu kanyosha nyele zake na kibanio ananukia Yolanda na anagaa kwa kupiga Rays............. Zamani jamani raha tupu afu watu walikuwa sio wanyimi!!!!!
Hilo neno Danga chee,lilikuwa linaenda na neno lingine lisemalo "Dukinaa"
Hivi yalikuwa na maana gani vile haya?
Tutakula au fitina?
WanaJF kuna maneno ni dhahiri ukiyakumbuka unaweza kucheka kama si kuhuzunika kwani yatavuta memmories na kukumbuka mengi mmo kwa wakati huo, mi nakumbuka machache ingawa mengine bado yanadumu, tukumbushane basi ingawa najua wakati ule utandawazi haukuwawepo au kama ulikuwepo basi kwa kiduchu sana, Yafuatayo ni baadhi ya hayo maneno au misemo ya enzi za mwalimu:- 1. Nyapu
2. Mnaa
3. Manga
4. Kutupia ndoano
5. Kupiga chabo
wadau tukumbushane mengine!