Maneno aliyoniambia mama siku naoa

Maneno aliyoniambia mama siku naoa

Kasoro zipo mkuu, kununiana,kuulizana maswali ya ajabu.
kama navochelewa kurudi huwa hapendelei Sana na huwa anasema ndio uzuri wake.

kama leo lazima tu ntachelewa sababu ya game ya Barça na Chelsea. Hivyo huwa hapendi sana navyorudi usiku Sana.

Pia leo ili nisimkere Lazima nile naye chakula,nipige naye story kidogo ndio naende kibandani kucheki mpira.

Yeye ndio sababu hata game ya jana sikuangalia.
Siku nyingine huwa ananigomea namsikiliza,siendi.natulia tu home tunaangalia movie zake za kikorea au kihindi. Kama kuna mechi nakua naangalia kumridhisha.sitaki kum-dictate japo najua naweza,ila soioni sababu ya kufanya hivyo. Sitaki kushindana naye,kuepusha matatizo. Maana yeye pia ni msikivu na muelewa kwangu. Na nina furahia hivyo.

Binafsi sitaki kuupa mpira thamani zaidi ya ndoa. Sitaki hata awe anacheza nani, binafsi sitaki.
japo siku nyingine mwenyewe huwa ananiambia nenda kaangalie wenzako wasije sema nimekupa limbwata bure.namjibu,waseme mara ngapi!? Tunacheka yanaisha.

Mambo mambo yapo mkuu. Me naona kawaida.
Maswali gani ya ajabu???
 
Kasoro zipo mkuu, kununiana,kuulizana maswali ya ajabu.
kama navochelewa kurudi huwa hapendelei Sana na huwa anasema ndio uzuri wake.

kama leo lazima tu ntachelewa sababu ya game ya Barça na Chelsea. Hivyo huwa hapendi sana navyorudi usiku Sana.

Pia leo ili nisimkere Lazima nile naye chakula,nipige naye story kidogo ndio naende kibandani kucheki mpira.

Yeye ndio sababu hata game ya jana sikuangalia.
Siku nyingine huwa ananigomea namsikiliza,siendi.natulia tu home tunaangalia movie zake za kikorea au kihindi. Kama kuna mechi nakua naangalia kumridhisha.sitaki kum-dictate japo najua naweza,ila soioni sababu ya kufanya hivyo. Sitaki kushindana naye,kuepusha matatizo. Maana yeye pia ni msikivu na muelewa kwangu. Na nina furahia hivyo.

Binafsi sitaki kuupa mpira thamani zaidi ya ndoa. Sitaki hata awe anacheza nani, binafsi sitaki.
japo siku nyingine mwenyewe huwa ananiambia nenda kaangalie wenzako wasije sema nimekupa limbwata bure.namjibu,waseme mara ngapi!? Tunacheka yanaisha.

Mambo mambo yapo mkuu. Me naona kawaida.
Mambo gani mengine mnanuniana ukitoa mpira?
 
Hongera shikiria hayo mausia unamzazi bora, si wengine baba mtu anamwambia mwanaye mkeo hapati watoto oa mke wapili mimi nataka wajukuu tu, sasa huyo hawezi toa maneno ya busara kama hayo kongole kwa mama
Nini maana ya neno kongole
 
Kabla sijaoa alikua anatuambia tu kwenye story za hapa na pale mimi na mdogo wangu kuwa,msije mkaniletea mwanamke mvaa hovyo, Msije mkaoa wanawake wavivu na wasio na dini watawasumbua.

Ila maneno ya siku ya mwisho yanaingia Sana kichwani mkuu, wakati ananambia niliona kama atmosphere imebadilika kabisa. Nilikua nahisi Kama nasikia kutoka mbali Sana. Nilikua sijui nataka kulia au kucheka.
Upo dini gani mkuu???
 
Safi sana nimependa jinsi mama yako alivyokusii kuishi katika ndoa, tuwapende wake zetu maana wao ndo wasiri wetu.najitahidi sana kuyatekeleza kwa my wife
 
Yashike sana hayo maneno Mkuu,,Namungu akubariki sana katika family mpya
Angalizo
baada ya wiki mbili usije kutuomba ushauri humu ndani
MUNGU NI MWEMA AKUBARIKI
 
Enyi wanaume wapendeni wake zenu....Enyi wanawake watiini waume zenu. Ukimpenda mkeo naye atakutii daima. just be available, listener, advisor, lovely, responsible, patient. Spend most of your time na mke wako. maneno ya busara na hekima sana aliyoyasema mama yako, hivyo ni wewe tu kuyazingatia au lah. Zingatia kusali pamoja na mke wako.

Kila la kheri kaka, kumbuka maneno yafuatayo; Nendeni. Daima. Ombeni. Amani = N.D.O.A
 
Ndio mkuu,kamoja kakiume, Kana mwaka na robo sasa.

Tumechagua kufuata kalenda,japo inachangamoto kidogo ila ndio chaguo letu la kwanza.
Hata siku tunakatafuta haka kachalii, tuliamua, tufyatue leo au kesho,me nikasema kesho, kesho kwa maajaliwa ya Mungu tukafyatua kweli.

Na siku akiona mzunguko hauelewi elewi na tupo moto, kuepusha accident mshindo unamiminiwa nje.
That's how we try to do!
hongera sana jitahidi kumtunza mkeo. ili utunze baraka za mzao wako wa kwanza na wengine wajao
 
We mpaka uwambiwe huwezi kujiongeza mxiiiiew.... [emoji51] [emoji16] [emoji119]
 
Back
Top Bottom