Maneno aliyoniambia mama siku naoa

Maneno aliyoniambia mama siku naoa

Ningekuwa na namba yake ningemwambia ahakikishe analeta msosi kama anayo nafasi maana mama ntilie kweli ni noma

Miaka mitaka mitatu si haba

HoN
She is now craftwoman dressmaker. Anaokota miamia,anafanyia hapo hapo home. Namuangaliaga tu hata anavosema hivyo wakati najua slightly yuko bize, japo mwenyewe anadai hiyo kwake sio kazi na haoni shida.

Ila huwa narudi mwenyewe home nikijisikia kula home au nikiwa na hiyo nafasi, au bajeti naona hainiruhusu kula mgahawani, au Kama nimemiss narudi chap chap!
Japo siku akiamua naona tu mtu huyu hapa na msosi! Huwa nafurahi sababu pia sio mpenzi wa kula mgahawani, huwa naona anasumbuka japo mwenyewe hajali.

Jana ikifika nikumbushe nikupe namba yake mkuu umpigie[emoji1]
 
Hayo alipaswa awe anakuambia hata kabla hujaoa, sio asubirie siku ya "shughuli" pale una mambo mengi kichwani unaweza kusahau
Kabla sijaoa alikua anatuambia tu kwenye story za hapa na pale mimi na mdogo wangu kuwa,msije mkaniletea mwanamke mvaa hovyo, Msije mkaoa wanawake wavivu na wasio na dini watawasumbua.

Ila maneno ya siku ya mwisho yanaingia Sana kichwani mkuu, wakati ananambia niliona kama atmosphere imebadilika kabisa. Nilikua nahisi Kama nasikia kutoka mbali Sana. Nilikua sijui nataka kulia au kucheka.
 
Sasa na wewe number za mama ntilie unakaa nazo za nini?
Ili iwe rahisi kuagiza chakula napohitaji mkuu,maana kuna wakati unabanwa na kazi kiasi huwezi kutoka, hadi kula unakula kwa timing!
 
Baba hakukushaur.......? Baba ndiye mwenye ushaul Wa kiume.....jambo la kumiliki Mke nadhani kwa mwanaume ni vema ashauliwe na BABA pekee..mama awashaul watoto Wa kike
 
Ukiona mtu anashabikia na kupromote sana ndoa na harusi yake na all the hype around it,ujue kuna tatizo somewhere...mtu mwenye ndoa inayoenda fresh hana muda wa kupoteza wa kuandika thread.For what?
May be it's true what you are saying Lakini kwangu now haipo hivyo, nilikuwa nafunua funua Mahali unconsciously nikafunua page ya wosia wa mama. Nikawa interested Sana kiasi cha kuamua ku-shere.

May be umeni-quot hivyo kwa sababu nimeandika nikiwa na furaha Sana Kiasi hadi umeni-notes vice versa!
 
Bado anapenda kunywa zile supu zao anazokorogea miguu
ni muhimu kuwasalimia na kuwakumbuka waliokulea mpaka kufikia hatua hiyo mara moja moja.ndio ambacho huwa nafanya[emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
ni muhimu kuwasalimia na kuwakumbuka waliokulea mpaka kufikia hatua hiyo mara moja moja.ndio ambacho huwa nafanya[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Hahaa lakini usizoee sana wakijua umeoa hukuwachukua wao wivu unawaingia wanazidisha manjonjo, hujawahi ona ke akipata mchumba au kuolewa ndiyo wengine wanajitokeza eti wanampenda wakati siku zote walikuwa wanamuona [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
 
Kama unamudu kuyaishi alokwambia mama basi mkeo ana heri
Always I pray for that mkuu. My Mama huwa ananisimulia story Chungu sana alizopitia.kiasi sitaki kumuumiza mke wangu.sitaki kufanya yaliyomuumiza mama wakati wa ujana wake kwa mke wangu. Mama anafurahi Sana kumuoana yuko happy.anafurahi Sana kiasi wamekua marafiki.
 
mi sikupewa neno lolote, zaidi mabinamu walijiapiza tuu, nimewala halafu sijawaoa hata mmoja, na siku ya harusi ndio walijuana kwamba wote niliwakaa
 
Mama yako ni mama mwenye busara kma kina mama wengi WA enzi hizo sio hii generation X
May be mkuu but wengi Kama sio wote huwa wanahusiwa,WANAUKUBALI NA WANAUPOKEA WOSIA ila wanaamua tu kujisahaulisha,kuupuza na kuacha misingi.
Kwa kuwa na sababu au bila sababu. Kitu ambacho binafsi sipendi nikifanye.
 
Natamani nimjue mama yako anipena mimi mawili matau.ila wana wake wengine visirani,kuwafanyia hivyo inaitaji moyo.
Vijichangamoto vipo,sema mkishajuana haisumbui, akikushika hapa unakua mpole Yanaisha,nawe unajua utamshika wapi. Yaishe,mcheke,mcheke!

Nilichojifunza maisha ya ndoa ni zaidi maisha kama watu mtaelewana. Unakuta humchoki mwenzio.
Ukitaka story unataka upige na yeye,
Kucheka ucheke na yeye,
My wife is more than a friend.
Yani hivyo,kanishika hadi napenda!
 
Back
Top Bottom