Mandatory Life Sentence or Capital Punishment for Corruption exceeding 1Million USD?

Mandatory Life Sentence or Capital Punishment for Corruption exceeding 1Million USD?

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Joined
Mar 10, 2006
Posts
34,226
Reaction score
44,396
Should we create a mandatory sentencing of either Life in prison (with hard labor) or capital punishment for public officials found guilty of corruption that involve the loss, missuse or embezzlement of monies exceeding 1Million USD? At the same time create mandatory 14 years sentence for ANY amount below that? Would that be excessive, harsh or unreasonably extreme?
 
Mwanakijiji,

I have never supported DEATH PENALTY. But I have strong conviction that was I to be in a decision making positon in my country, I would WHOLEHEARTEDLY support Death Penalty for ALL corruption Offences. Indeed that would be the ONLY offence to carry Capital punishment once an alleged perpetrator of such a crime has undergone due process to determine his/her guilty. I dont regret for this support, rather I strongly feel that Africa, kwa hapa tulipo, we really need to discard these niceties of human rights from western liberals.

Remember: Africa is the ONLY continent which has been condemned to develop while observing human rights. Not Europe, not America..no body...(among the developed countries) reached where they are..by taking into account human rights. Wanaotuibia kidogo tulichonacho..watundikwe shaba tu

Masanja
 
Mzee Mwanakijiji, Hata wewe unathaminisha uhai wa binadamu kwa thamani fedha!?. Mimi ni miongoni mwa wanao support capita Punishment ifutwe. Kama Caini alifanya mauaji ya nduguye Abeli and God spared him, mwanadamu ni nani atoe maisha ya binadamu mwenzake kisa kaiba mamilioni ya fedha tuu?!. Kama mleta uhai ni .ungu pekee, tumwache yeye awe ndiye mtoa uhai na sio binadamu.
Naelewa uchungu ulionao dhidi ya mafisadi ila kwangu mimi mafisadi nao watu wanastahili kuishi tena afadhali mafisadi wa EPA wameiba fedha za kulipa madeni ambazo sio zetu kuliko mafisadi wa siasa wanaokomba mamilioni ya posho za safari kutwa kuchwa wakiponda maraha hoteli moja hadi nyingine, nchi moja hadi nyingine, lakini kuwalipa wafanyakazi wako angalau mishahara ya kujikimu, unawagomea!.
 
At least waswekwe lupango kwa muda utakaoridhisha na hatua zichukuliwe kurudisha fedha za umma ili hata watakapotoka jela wasifaidi matunda ya wizi wao. At least.
 
Should we create a mandatory sentencing of either Life in prison (with hard labor) or capital punishment for public officials found guilty of corruption that involve the loss, missuse or embezzlement of monies exceeding 1Million USD? At the same time create mandatory 14 years sentence for ANY amount below that? Would that be excessive, harsh or unreasonably extreme?

That's very reasonable to me because honestly, if it were up to me they would have to face a firing squad.....we can't have these thieves living a life of luxury at the expense of us. Just shoot them all or fry them...either way I don't care.
 
Life sentence for Chenge and his allies should be mandatory.
 
Mzee Mwanakijiji, Hata wewe unathaminisha uhai wa binadamu kwa thamani fedha!?. Mimi ni miongoni mwa wanao support capita Punishment ifutwe.

Hata mimi nina support adhabu ya kifo ifutwe, na ninazo sababu zangu zaidi za kifalsafa (siyo za kidini) za kufanya hivyo. Lakini kabla haijafutwa itumike kwanza kwa muda dhidi ya mafisadi.

Kama Caini alifanya mauaji ya nduguye Abeli and God spared him, mwanadamu ni nani atoe maisha ya binadamu mwenzake kisa kaiba mamilioni ya fedha tuu?!.

Lakini Mungu hakumuacha Kaini aendelee tu kuishi huru; he didn't spare him he punished him severely by making him the first outcast! Tukifuata mtindo huo mafisadi wote tuwatenge kwa maisha yao kwa kuwatupa kwenye kisiwa kimoja ambako watatafuta wenyewe jinsi ya kuishi na wanaweza wakajipatia "wake" huko kama alivyofanya Kaini - msiniulize watatoka wapi!

Kama mleta uhai ni .ungu pekee, tumwache yeye awe ndiye mtoa uhai na sio binadamu.

Kanuni hii kwa juu juu inaonekana ina mantiki, lakini Mungu ametupa uwezo na ukisoma maandiko utaona kuna wwakati ambapo Mungu huyo huyo aliruhusu mafisadi wauawe- kwa mikono ya wanadamu wengine.

Naelewa uchungu ulionao dhidi ya mafisadi ila kwangu mimi mafisadi nao watu wanastahili kuishi tena afadhali mafisadi wa EPA wameiba fedha za kulipa madeni ambazo sio zetu

Kama siyo "zetu" kwanini hatuwaachii tu! hii ni dhana mbaya sana kwa sababu kama hatuwezi kulinda cha mwingine tutaweza kweli kulinda cha kwetu?

kuliko mafisadi wa siasa wanaokomba mamilioni ya posho za safari kutwa kuchwa wakiponda maraha hoteli moja hadi nyingine, nchi moja hadi nyingine, lakini kuwalipa wafanyakazi wako angalau mishahara ya kujikimu, unawagomea!.

Ndiyo maana napendekeza kuwa na mandatory sentences kama miaka 7, 14, maisha na kifo (au kuwaweka kwenye shimo fulani hivi ambapo hawatoki hadi vifo vyao vya asili)
 
a person that steals any public funding or prevents any kind of development through corruption is not any different from a murderer!! look at it from this point of view: if someone somehow creates a situation which causes antimalarial drugs not to reach kigoma, people will die there! if a road is not built somewhere in the rural interiors, a woman in labor might end up losing her child because she couldn't reach a hospital in time etc so yes, maximum measures is the only solution since we wabongoz are so wagumu wa kuelewa tukiambiwaga!! Mwendo wa vitanzi tuuu!!!
 
Let's think of crossing the river when we reach the bridge!
Do you think our legal system (especially DPP) is capable of leading to conviction?
 
Let's think of crossing the river when we reach the bridge!
Do you think our legal system (especially DPP) is capable of leading to conviction?
Lebabu, leading to conviction ya nini, hakuna kitu pale!, kwa kifupi hakuna kesi, hizo unazoziona zikitajwa tajwa ni zuga tuu. Kwani hujui ni Kagoda ndio imemuweka Mkulu pale Magogoni?. Mwizi mkubwa wa EPA ni Jeethu Patel na nduguye Subhas Patel, huyo Jeethu ndiye mwenye Golden Tulip na tenda ya kuendesha kilimo kwanza. Subhas ndiye amemilikishwa Bwagamoyo anayejenga chain ya Mahoteli na kumjengea Mkwere hekalu la 'asante'. Nani awe convicted kwa kosa lipi?, nadhani labda ndio maana Mwanakijiji akashauri wanyongwe!.
 
Mzee Mwanakijiji, Hata wewe unathaminisha uhai wa binadamu kwa thamani fedha!?. Mimi ni miongoni mwa wanao support capita Punishment ifutwe. Kama Caini alifanya mauaji ya nduguye Abeli and God spared him, mwanadamu ni nani atoe maisha ya binadamu mwenzake kisa kaiba mamilioni ya fedha tuu?!. Kama mleta uhai ni .ungu pekee, tumwache yeye awe ndiye mtoa uhai na sio binadamu.
Naelewa uchungu ulionao dhidi ya mafisadi ila kwangu mimi mafisadi nao watu wanastahili kuishi tena afadhali mafisadi wa EPA wameiba fedha za kulipa madeni ambazo sio zetu kuliko mafisadi wa siasa wanaokomba mamilioni ya posho za safari kutwa kuchwa wakiponda maraha hoteli moja hadi nyingine, nchi moja hadi nyingine, lakini kuwalipa wafanyakazi wako angalau mishahara ya kujikimu, unawagomea!.


ndugu zangu sheria ya kifo ni the best one but kutegemea na kosa sio kila kosa kwa kuwa kubwa basi mtu auawe.
mie ningesuggest ipitishwe sheria ya kiisilamu kwa majaribio japo kwa mwaka mmoja tu tuone kama itasaidia kuounguza wizi au la. na sheria hiyo inasema MTU AKIIBA ANAPASWA KUKATWA MKONO. but kama ilivyo sheria nyingine sio tu mtu kamsingizia wizi adui yake unamkamata kisha unamkata mkono bila ya kufanya uchunguzi na kujua sababu ya kuiba kwake na kama kaiba kweli au la.

Kwa sababu WEZI WOTE WANAIBA KWA KUTUMIA MKONO ndio maana sheria hii inasema akatwe mkono. MAFISADI wamesaini mikataba ya wizi kwa MKONO, majambazi wanatumia mikono kubeba SMGs, vibaka wanakaba kwa kutumia MIKONO. so sidhani kama wakiwa hawana japo mkono mmoja kama wataweza kufanya upuuzi wao.

ni maoni tu broz n sisz
 
Lebabu, leading to conviction ya nini, hakuna kitu pale!, kwa kifupi hakuna kesi, hizo unazoziona zikitajwa tajwa ni zuga tuu. Kwani hujui ni Kagoda ndio imemuweka Mkulu pale Magogoni?. Mwizi mkubwa wa EPA ni Jeethu Patel na nduguye Subhas Patel, huyo Jeethu ndiye mwenye Golden Tulip na tenda ya kuendesha kilimo kwanza. Subhas ndiye amemilikishwa Bwagamoyo anayejenga chain ya Mahoteli na kumjengea Mkwere hekalu la 'asante'. Nani awe convicted kwa kosa lipi?, nadhani labda ndio maana Mwanakijiji akashauri wanyongwe!.

Panga foleni wote kisha kama enzi mgambo vile,kila mtu alenge jichoni tu.
 
Mzee Mwanakijiji, Hata wewe unathaminisha uhai wa binadamu kwa thamani fedha!?. Mimi ni miongoni mwa wanao support capita Punishment ifutwe. Kama Caini alifanya mauaji ya nduguye Abeli and God spared him, mwanadamu ni nani atoe maisha ya binadamu mwenzake kisa kaiba mamilioni ya fedha tuu?!. Kama mleta uhai ni .ungu pekee, tumwache yeye awe ndiye mtoa uhai na sio binadamu.
Naelewa uchungu ulionao dhidi ya mafisadi ila kwangu mimi mafisadi nao watu wanastahili kuishi tena afadhali mafisadi wa EPA wameiba fedha za kulipa madeni ambazo sio zetu kuliko mafisadi wa siasa wanaokomba mamilioni ya posho za safari kutwa kuchwa wakiponda maraha hoteli moja hadi nyingine, nchi moja hadi nyingine, lakini kuwalipa wafanyakazi wako angalau mishahara ya kujikimu, unawagomea!.


Pasco niko pamoja na wewe.Uhai wa mwanadamu unathamani zaidi ya fedha,haulinganishwi na kitu chochote..Na hata tukiamua kuwa watu wanyongwe hivi is true kuwa ndio itafanya watu wasiibe?hivi ni kweli China ni wasafi kwa asilimia zote?mbona dini zote zinakataza kufanyana dhambi na bado watu tunafanya dhambi kila inapoitwa leo?tena dhambi mpaka kwa watu wanaojiita viongozi wa dini,tena wanafanya dhambi za kutisha pamoja na kwamba kuna baadhi ya madhehebu wanawatenga watu wanaopatikana na hatia..Tatizo la wizi na rushwa halitamalizika kwa adhabu yeyote ile,iwe kifo ama adhabu ya aina nyingine mi naamani ni katika malezi tu,ambayo nchi inapaswa kutulea nayo tangu tukiwa wadogo..Lakini kwa kuwa tumeshachelewa katika malezi basi wale wanaokutwa na hatia ni kuwa very serious kuwawajibisha pamoja na kutaifisha mali zao zote kabisa..lakini Kifo no,no,no..
 
Mzee Mwanakijiji, Hata wewe unathaminisha uhai wa binadamu kwa thamani fedha!?. Mimi ni miongoni mwa wanao support capita Punishment ifutwe. Kama Caini alifanya mauaji ya nduguye Abeli and God spared him, mwanadamu ni nani atoe maisha ya binadamu mwenzake kisa kaiba mamilioni ya fedha tuu?!. Kama mleta uhai ni .ungu pekee, tumwache yeye awe ndiye mtoa uhai na sio binadamu.
Naelewa uchungu ulionao dhidi ya mafisadi ila kwangu mimi mafisadi nao watu wanastahili kuishi tena afadhali mafisadi wa EPA wameiba fedha za kulipa madeni ambazo sio zetu kuliko mafisadi wa siasa wanaokomba mamilioni ya posho za safari kutwa kuchwa wakiponda maraha hoteli moja hadi nyingine, nchi moja hadi nyingine, lakini kuwalipa wafanyakazi wako angalau mishahara ya kujikimu, unawagomea!.

Pasco
Mwanadamu ni mnyama wa ajabu sana kwa sababu kuu moja. Nayo ni kuwa na akili na uwezo wa kutawala wanyama wote na mazingira yao. Mwanadamu huyuhuyu kiasili ameumbwa na tamaa, tamaa ya kutaka kufanya kila awezalo ili aweze kuishi maisha mazuri hapa duniani, kwa ajili hiyo basi mwanadamu huyu huyu wakati mwingine husahau kuwa kwa kuendekeza tamaa aliyonayo matendo yake yanaweza kuwa yanawaathiri viumbe wengine na hata binadamu wenzake.

Mwanadamu huyuhuyu akishajua kuwa matendo yake yanaweza kumuathiri yeye mwenyewe kwa kiasi kikubwa basi hapo huchukua tahadhari ambayo huenda ikamnusuru yeye na viumbe wengine wanaomzunguuka kutokana na matendo yake. Pindi mwanadamu akifahamu kuwa kwa kufuja mali ya umma kitendo chake kinafanya, barabara ziwe mbovu na kusababisha ajali na vifo, hospitali kukosa huduma bora, nchi kukosa fedha za kuwalipa vizuri wafanyakazi hivyo hufanya kazi kwa shingo upande na kutokuwa makini na hata kuchukua rushwa, basi mwanadamu huyo anakuwa amekosa sababu za yeye kuwa sehemu ya wanadamu wenzake, kama ingekuwa nyoka au simba tungemuua, mwanadamu wa aina hii kweli anatakiwa kuwekwa kwenye fungu la wanyama kama nyoka wenye sumu kali au Simba wala watu. Njia pekee ya kuepukana nao ni kuwaua (Capital punishment)

Adhabu ya kifungo cha maisha au kifo itakuwa na sababu tosha ya kumfanya huyu mwanadamu mwenye tamaa ambayo anasahau kuwa matendo yake yanaathiri viumbe wengine kumfanya akumbuke athari hizo na kuogopa kufanya matendo hayo kwani yeye pia atakuwa ni muathirika wa tamaa yake. China wameweza kuja kasi kutokana na kumfanya mwanadamu huyu kuwa victim wa tamaa yake ambayo inaathiri viumbe wenzake na mazingira.

Wasiwasi wangu ni kuwa Tanzania's legal system haipo clean enough kutoa haki, haki tupu kwa sababu zilezile za tamaa (rushwa mahakamani) na hivyo kutoa mwanya kwa wachache kutumia sheria hiyo kwa visasi n.k . Wakati wa mwalimu kulikuwa na ufuatiliaji wa mali za watumishi wa uma na kuzitaifisha kama zinazidi uwezo wa kipato chao kitu ambacho kilikuwa na ufanisi ila kwa sasa sijui kama hilo linawezekana. Miiko ya viongozi ilikuwa sababu tosha ya kuwakamata hawa binadamu wenye tamaa (Kama vile usiwe na hisa kwenye kampuni binafsi, usiwe mfanyabiashara ambayo itakuweka wewe kwe advantage kutokana na maamuzi yako(Conflict of interest))
 
Kuwafunga ni kuitia hasara serikali. Kuwanyonga ni kinyume cha haki za binadamu. Suluhisho ni kutunga sheria ya kuwafilisi mali zao hili waanze maisha upya. Nafikiri hii ni adhabu tosha!
 
Good idea Mwanakijiji. Unfortunately it wont work because almost everybody in our country is corrupt!! The ill-gotten proceeds of the "Grand-Corrupt" trickle down to the ordinary wananchi. Therefore, corruption is the lifeblood of our country.
 
Kuwafunga ni kuitia hasara serikali. Kuwanyonga ni kinyume cha haki za binadamu. Suluhisho ni kutunga sheria ya kuwafilisi mali zao hili waanze maisha upya. Nafikiri hii ni adhabu tosha!

Mkuu, Bunge gani litatunga hiyo sheria?
 
Laws are useless if there is no one willing to enforce them.
 
Back
Top Bottom