Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,845
Ohhhhh!....i guess that dozzzii was 1x1 and not 3x1 manake hawa jamaaa wange-collapse!
Jana Emirates Stadium ilikuwa kama MBAGALA JESHINI!!!
Go United!!
Congrats kwa manazi wenzangu...Veteran Idimi, Bro Roy, Ica, Nziku, Belo, Belinda, Mbu, nooooo sio Mbu i meant 'Ab-Tchaz' (zile dawa kazitafute mapema bro) et al....!
...halafu hii thread inaendelea ya nini wakati game ilisha kwisha tangu jana? au ndio mnasubiria EPL pia? acheni hizo nyie, aaaarrggghh... au ndio 'kipofu kaona mwezi?' Samir Nasri aliwatundika mbili wala hatukuwafanyia tasnifa namna hii