Saikosisi
JF-Expert Member
- May 4, 2007
- 528
- 31
Mambo ya ku-trust Mr Bean nni wakicheza na akina Aston Villa na Portsmouth.Mechi ya kwanza watoto wa Mr. Bean walikuwa na bahati, naona leo walikuwa wanakaa kitako tena wakisubiri tena bahati badala ya kucheza soka..
Nawasikitikia sana wale jamaa walokuja na mabango ya "We trust in Mr.Bean", alidai timu itakuwa kali lakini lol..Kweli Mr.Bean ni Mr.Bean tu..
Unapokuja kulinganisha Man na Arsenal ni madaraja tofauti. Manchester iko "top one", ama at least "top two" wakati Arsenal wako "top four" wala sio "top three"! Unategemeani? Nawauliza wana-Gunners.