Hamna mtu mbishi kama mimi ikija kwenye kukubali mapungufu ya United. Lakini hata mimi nina limit yangu na leo nimeivuka. United needs an intervention.
Liverpool 3 kwa 0,chelsea 3 kwa 0 na leo man city 3 kwa 0 kwa kweli inauma na tukiendelea kuona hali hii ya matokeo ni kitu cha kawaida ndo itakavyokuwa ngumu kuitengeneza timu katika msimu ujao
Hamna mtu mbishi kama mimi ikija kwenye kukubali mapungufu ya United. Lakini hata mimi nina limit yangu na leo nimeivuka. United needs an intervention.
kocha wetu mpendwa leo moyes kavunja rekodi nyingine kufukungwa consecutive derby matches na man city 3 mfululizo na kupoteza mechi kumi katika msimu mmoja.mara ya mwisho ilikuwa mwaka 42
kama unafuatilia soka vizuri kila mtu anajua kwamba tupo katika kipindi cha mpito na tulitegemea kushuka perfomance na matokeo but sio katika extent hii msimu mmoja kupoteza mechi kumi tena mechi sita ndani ya old trafford.
Its unimaginable
Duh, huyu jamaa!! hata nikifanya nini najua hatanisikia, ngoja nisave tu matusi yangu:A S angry::A S angry::A S angry::A S angry::A S angry::A S angry::A S angry::A S angry: