Team imekuwa ya kijinga sana hii, sikui ETH anafundisha nini tu. Hatueleweki tunacheza mfumo gani, hatuwezi kupiga pasi 5 bila kupoteza mpira, huko mbele watu wanapishana kama wanaenda sokoni(hakuna ubunifu wowote).
Kama tunapigiwa mpira mwingi hivi na kateam ka Denmark, EPL tutamaliza nafasi ya ngapi..?