6-0Nyie leo mnapigwa 4-0
ETH siku zake zinahesabika , hakuna dalili yaku install mpira wakuelewekaSoon and very soooon, dalili ya mvua ni mawingu
View attachment 2755927
Kwa wanavyocheza vile hata kukaa na mpira hawawezi, wanaweza kupigwa 6-0 kweli
Lile goal naangalia clip yake, mdomo ukabaki wazi aiseeKwa wanavyocheza vile hata kukaa na mpira hawawezi, wanaweza kupigwa 6-0 kweli
Sifa za timu kubwa haijalishi mnachezaje ,kaa na mpira Basi
Brighton Kuna Goli wamepiga pass 30 bila chezaji yoyote wa manjesta kugusa
Timu yoyote yenye misingi ya kukaa na mpira itawapiga Hawa jamaaLile goal naangalia clip yake, mdomo ukabaki wazi aisee
Bayern anawaua leo hawa