Hiyo kesho
Marehemu amefia nyumbaNishaiamini timu yngu nshastake High hlf naskia migogoro..Mbn sielew..Kocha misimamo mingi Basi uwanjani onyesha matokeo pia!!!Hiyo keshoMarehemu amefia nyumba
Hakuna kusafirisha matanga siku tatu
Marehemu alikua na mdomo sana
Mkuu Cash out huo mzigo uliowekaNishaiamini timu yngu nshastake High hlf naskia migogoro..Mbn sielew..Kocha misimamo mingi Basi uwanjani onyesha matokeo pia!!!
Sent from my SM-N960U using JamiiForums mobile app
OGS alisalitiwa ,yule jamaa hakuwa mzoefu Sana but alikuwa anaileta DNA yenu kwa ufasaha ,ETH is cooking, inabidi aweke standards kwa players wake, refer jinsi pep alikuw unexpected kwa decision ya etoo, gaucho, Toure. Surely hakuna mkubwa kukiko ETH pale United kwa sasa.
Me naamin hii timu jamaa anaiweza,sio tusipoelewa mwanzon, ttamwelewa mwishoni.
OGS tulimwelewa mwanzon, mwishon akatuchanganya.
Hii kitu inawafanya player wazidiwe presha ,wakiwa uwanjani hawajiamini kabisaNajibu shutuma moja moja
Kuhusu magwaya, mashabiki wa man u 90% na pundits wenu moja kwa moja mnahusika
Mara ngapi hapa the gunners tunamuongelea vizuri magwaya
Nilishawai kusema, timu ya taifaagwaya ni panga pangua. Ila akiwa kwenye club mnamvunjia heshima Sana
Au nitafutie meseji ya mtu wa arsenal hapa jukwaa tulimsema vibaya (kumkosa bila mantiki)
Mashabiki wa man u, sometimes mnazingua Sana. Price tag ya mchezaji bas mnataka output yake ije fasta fasta tu.
Hamuangalia adaption ya player Wala nini
Huu ujinga mnawaambukiza team gunners Kule, kuwatia pressure wachezaji.
mfano Kai mnalazimisha tumuimbe, Kama mnavyomuimba magwaya.
View attachment 2749756
Sancho anasema Kuna double standardUkweli nadhani ni swala la Antony kuwa trash ila kocha anamlinda.
Kiukweli Antony hakutakiwa awe regular starter mbele ya Sancho. Walitakiwa wafanyiwe rotation ila TH anakomaa na kijana wake, swala ambalo Sancho halikubali.
Maybe kosa la Sancho hakuwa kucheza ligi ya uholanziSancho anasema Kuna double standard
Na hiyo ndiyo imeibua story za Carrington sasa, wote tulijua ni doubles standards kumbe mazoezini anachelewa bado hajitumi atapataje namba sasa?Sancho anasema Kuna double standard
Kwa suala la Maguire kukataa kujiunga na Westham na kung'ang'ania kubaki Utd ili aendee kula mshahara mkubwa ambao hauendani na anachodeliver mimi kama shabiki kindakindaki wa Man Utd nasema "Maguire aendelee kupigwa mtungo na mashabiki wa timu zote ili tamaa yake imtokee puani"Upo sawa But Wachezaji wa Kiingereza wanayatafuta wakati Mwingine haya kwa sababu ya EGO's zao. Kwa Mfano Maguire alikuwa na nafasi ya Kujitoa kwenye Spotlight na kuanza Upya akiwa W/Ham ila kafikiria zaidi Fungu zaidi, so mda Mwingine unaona kama wanayajitakia, Kiuhalisia ni Mchezaji mzuri ila Sio wa Timu kubwa kariba ya UTD!
Angalia Mda huu sakata la SANCHO, Media za Uingereza zinapenda attention na timu kubwa zenye Fan Base kubwa, na ndo mana UTD habari zake zinakuwaga na Uzito. Players wengi kipindi hiki mapato Nje ya Soka hasa kwenye mitandao ya kijamii yanawaharibia. Messi na CR7 Umaarufu umewafa baada ya kuwa Serious na Kazi zao. Rodri among the Best DM's kwa sasa jamaa Uuzaji kakataa kabisa mana wanadai hana Akaunti Social networks {I stand corrected} Ni moja ya Old School Players ila Jamaa uwanjani ana Muendelezo mzuri sana wa Performance.
Wachezaji wa Kiingereza kwa sasa ni Bellingham tu naye tunampa muda, kwa Hawa walio na asili ya Ki-Black wanatatizo sana asee, Delle, Sterling, Rashy, Sancho, Sturridge, Odoi, list inazidi kwenda, ni aina ya wachezaji wasio na Consistency wamepata mikataba mikubwa wakiwa wadogo na imewaharibu sana. Kuna na mfano mkubwa Pogba {ile kukulia Uingereza}
Fergie na Pep angalia aina ya Blacks unawakuta katika timu zao, wanajielewa haswa na wafuata maelekezo, ikitokea wakijitoa ufahamu hata wawe na uwezo wa aina gani wataondoka tu!
RubbishNajibu shutuma moja moja
Kuhusu magwaya, mashabiki wa man u 90% na pundits wenu moja kwa moja mnahusika
Mara ngapi hapa the gunners tunamuongelea vizuri magwaya
Nilishawai kusema, timu ya taifaagwaya ni panga pangua. Ila akiwa kwenye club mnamvunjia heshima Sana
Au nitafutie meseji ya mtu wa arsenal hapa jukwaa tulimsema vibaya (kumkosa bila mantiki)
Mashabiki wa man u, sometimes mnazingua Sana. Price tag ya mchezaji bas mnataka output yake ije fasta fasta tu.
Hamuangalia adaption ya player Wala nini
Huu ujinga mnawaambukiza team gunners Kule, kuwatia pressure wachezaji.
mfano Kai mnalazimisha tumuimbe, Kama mnavyomuimba magwaya.
View attachment 2749756
Duh yasije kutokea kama yale ya kitayose wachezaji 8 uwanjani au sabb ya uefa wiki ijayoTen Hag confirms Mount and Varane will not be available to face Brighton