Maguire ni mchezaji mzuri sema kakosa tu mtu sahihi wa kumshauri astaafuNingekuwa mm ndio Maguire ningeomba likizo.
Bado kuna Caicedo kwa Β£5m wakajishauri wakaona pesa nyingi. Wakawa offered kumsajili Alvarez (hapo ni baada ya Ole kutimuliwa) wakasema hawasajili mpaka wapate kocha mpya.Ole ID talent is exceptional, better than ETH
Ukweli mchungu ,Ole anamzidi mbali Sana 7hag ,Ni vile hakuaminiwa ,aliletewa mamluki
Ole alikuwa anacheza counter attack ya kisasa ,sio hii ya 7hag dakika 100 anapiga pass 250 in his own half
View attachment 2747598View attachment 2747600
Majibu yapo huko juu ametoa hamis77 mchambuzi nguli wa soka la kisasaTenHag kwanini aliamua kumuacha De Gea?
Ligi ya Uingereza (timu zote 20) kwasasa hakuna golikipa bora kumzidi kiwango De Gea, hivi jamaa lengo lake ni nini?
Aisee Grazzer family nao jipu lakin watu wa management Kwanini wamekuwa hawashinikizi Hadi wanaonekana wao na Grazzer Ni wamoja.Bado kuna Caicedo kwa Β£5m wakajishauri wakaona pesa nyingi. Wakawa offered kumsajili Alvarez (hapo ni baada ya Ole kutimuliwa) wakasema hawasajili mpaka wapate kocha mpya.
Kocha mpya ndiyo EtH, wamesajili striker kwa Β£72m.
Haaland Β£4m
Alvarez Β£14mView attachment 2748426
Bro niache nilivyo, hzo overloading, playing style na pass million ni zenu. Me naangalia final product....arsenal huna cha kunambia.Chukua hii nakupa Mimi Kama mchambuzi nguli
Manjesta walipiga jumla ya pass 213 first half
Pass 199 pekee walizipiga kwenye eneo Lao la backline
Pass 8 pekee walizipiga kwenye Midfield ya Arsenal kwa dakika 45
Pass 5 pekee ndio walifanikiwa kupiga kwenye final third ya Arsenal
Mechi nzima walipiga 12% ya pass zote kwenye final third ya Arsenal,hii Ni record ya chini kabisa toka 2006/2007 kwa mujibu wa OPTA
Kwa Hali hii mkijitahidi Sana nafasi ya 8-12 View attachment 2747477
mkorea Leo umeongea kwa hekima,Duuh kumbe Ole aliziona hizi almasi
That's a real meaning of talent id, got respect for ole
Back to time, city amechezea Sana vipigo kutoka kwa huyu huyu sosha
Na alikua anacheza mpira aggressive sana
Kuna uwezekano mkubwa tatizo la majirani zetu ni zaidi tunavyofikiria
SafiMkuu Mara moja moja, tunaweza ushabiki pembeni tunaongea soka