Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Shabiki wa timu pinzani akiongea negative tunachukulia kama challenge ila fellow mwenzetu hatuwezi vunga.

Haiwezekani kila siku mtu upo negative tu
Mkuu, unataka kusema mashabiki wa timu moja hawatakiwi kutofautiana mtazamo juu ya jambo fulani ?
 
Mkuu, unataka kusema mashabiki wa timu moja hawatakiwi kutofautiana mtazamo juu ya jambo fulani ?
Tunatakiwa kutofautiana right,hata mimi kuna vitu vibovu huwa napondea but sehemu ya compliment sina hiyana.

Sasa jamaa humu ndani tangu nimjue ni mwendo wa kumkandia ETH hakuna siku yupo positive na sisi ndio fans wa kusupport timu pamoja na kocha kwa kila hali.

Sasa mtu kila siku kwake hakuna jema hata moja ndio nini sasa
 
Tushazoea acha kulialia mtoto wa kiume kila day mawazo yako negative tu hamia Man City ufurahi kila siku hawana mapungufu kama yetu
Huyu jamaa tokea Mourinho afurushwe Old Trafford aligeuka kuwa disliker kwa lolote linalohusu United.

Amesha predict kuwa Ten Hag atatimuliwa kabla ya Krismasi akiendelea kusajili wachezaji ambao ameshafanya nao kazi..yetu macho.
 
Huyu jamaa tokea Mourinho afurushwe Old Trafford aligeuka kuwa disliker kwa lolote linalohusu United.

Amesha predict kuwa Ten Hag atatimuliwa kabla ya Krismasi akiendelea kusajili wachezaji ambao ameshafanya nao kazi..yetu macho.
He is Glazer's puppet usitegemee hili kutokea mapema, what is doing now ni kuendelea kuwajaza mahela Glazers by offloading highest paid players na kuwa replace na low and cheap players huku akiwaaminisha mashabiki kuwa Werghost ni bora kuliko Cr7.

SevenHag ame manage kuwa brainwash mashabiki na kuwaaminisha kupigwa SABA BILA na biggest rival ni jambo la kawaida, kwa timu inayo jitambua hii ilikua ni sababu tosha ya kurudishwa uholanzi.
 
Glazers puppet wapi?

Unadhani kuna kocha anayeweza kuasi dhidi ya Wamiliki waliomuajiri?
Au unataka nae atembeze bango la Glazers out?

Kama hivyo basi makocha wote waliopita waljkuwa ni puppets pia.

Wa kuwaondoa hao jamaa sio kocha ni mashabiki wa UK na protests za nguvu,mlaumu kocha sehemu zote ila kuhusu uwepo wa Glazers unamuonea tu


Kuhusu kumfurusha CR7 ndio biggest thing aliyofanya tangu atue nampa tano,aliwambia nani Weghorst alikuja kuziba pengo la CR7?

Ni majeraha ya Martial ndio yalifanya Weghorst aletwe kwa mkopo wa muda mfupi,mkopo wa miezi 6 tu unalialia je angesajiliwa permanent je.

ETH angepewa hela ya kusajili striker unadhani angemleta huyo jamaa?
 
mbona anasema huyo ndo striker wake hana haja ya mtu mwengine
 
mbona anasema huyo ndo striker wake hana haja ya mtu mwengine View attachment 2701012
kocha pupper kweli cheki madrid wa modric,tchouameni,camavinga,kroos na bado wamemchukua bellingham yeye alivyofala kakimbilia kwa mount na mctominay mbele akimtegemea martial na rashidi kufany maajabu miaka yote wako vilevile hawabadilik
 
We jamaa huwa unatema madini sana kwenye hili jukwaa.
 
mbona anasema huyo ndo striker wake hana haja ya mtu mwengine View attachment 2701012
Ndio maana narudia kila saa kuwa hamna akili,lini kocha kasema hana haja ya striker wakati ndio kati ya main target kwenye sajili zake?


Rasmus Hojlund anayefukuziwa hadi sasa ni shemeji yako?

Rashford ni left wing hana madhara kama striker ndio maana kocha anatafuta mshambuliaji sasa ulivyo na akili mbovu unatunga taarifa zako unajikuta Fabrizio wa Buza
 
kocha pupper kweli cheki madrid wa modric,tchouameni,camavinga,kroos na bado wamemchukua bellingham yeye alivyofala kakimbilia kwa mount na mctominay mbele akimtegemea martial na rashidi kufany maajabu miaka yote wako vilevile hawabadilik
Narudi palepale kuwa hamna akili



Martial yupo sokoni pia hayupo kwenye plan za kocha ndio maana anafukuziwa Hojlund,pia Scott naye anauzwa na West Ham wanamtaka japo wanashindwa kufikia makubaliano ya dau.

So kocha kutokuwa na wachezaji bora ndio puppet wa wamiliki dah sijui umeishia la ngapi aisee mbona una akili za kitoto hivi kama jamaa yako.

Kocha kuzingua hayo ni matatizo yake msianze kumpa connection na Glazers ambao hata vurugu za mashabiki zimeshindwa kuwaondoa yeye ni nani awe against nao wakati ndio waliomuajiri pamoja na wachezaji wote.


Mashabikiwa Bongo kila kitu kujifanya wachambuzi wakati hata danadana kupiga ziro,trash
 
kocha pupper kweli cheki madrid wa modric,tchouameni,camavinga,kroos na bado wamemchukua bellingham yeye alivyofala kakimbilia kwa mount na mctominay mbele akimtegemea martial na rashidi kufany maajabu miaka yote wako vilevile hawabadilik
Si wanasaka striker wa Atlanta ?
 
Kwa usajili unavyosuasua na aina ya ya wachezaji tulionao. Tutegemee kuwa top four contenders na siyo title contenders,ukilinganisha na namna Arsenal na Man City walivyokuwa Bora msimu ulopita na jitihada za kuziba viraka vyao zinavyofanyika. Mana wachezaji ni wale wale na walikuwa na mwalimu yule yule,so sitegemei mabadiliko makubwa kiuchezaji
 
Jambo kubwa unalosahau ni kwamba EtH ameajiriwa. Usitegemee ipo siku utamsikia akiongea vibaya kuhusu waajiri wake.

Hata Solskjaer aliitwa "Glazer's puppet" ila alipoondoka aliongea ukweli kuhusu Glazers.

Weghorst siyo bora kuliko Ronaldo. Baada ya EtH na Ronaldo kushindwa kuelewana Ronaldo ndiyo alienda kufanya interview ya kuwaongelea Glazers vibaya pamoja na kocha.

Sehemu kubwa ya interview yake aliwaongelea vibaya wamiliki / waajiri wake. EtH hana nguvu ya kumfukuza mchezaji yoyote yule mwenye mkataba na United. Ronaldo alikubali kuvunja mkataba baada ya kukubaliana na uongozi wa timu.

Weghorst alikuja kwasababu Ronaldo alishaondoka na kocha alitaka squad depth. Tatizo lilianzia kwa Ronaldo mwenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…