Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wewe jamaa una element zote za kishoga endelea kupost ushoga utapata mashetani wenzako humu wenye mkengo wa kichoko
 
Za ndaaani kabisa ,Timu anapewa Sir Jim

Muarabu kaambiwa aendelee kupanda dau, timu hapewi hata iweje


Safi Sana Joel na mdogo wako Yule mwenye upara watoto wa marehemu Grazzer,


BREAKING
:

All six Glazer siblings could retain stakes in #mufc in a proposed phased takeover of the football club by Sir Jim Ratcliffe. [ @SamuelAgini, @ArashMassoudi]
 
Nakwenda zangu ,tutaonana baada ya mechi


My prediction

Mancity 5 manjesta 0

 
KITENDO HIKI CHA PEP kusema mashabiki walewe tu na kufurahi

Naziona Kama Kuna 7


[
] Pep Guardiola's message to #ManCity fans ahead of a massive week: "I would say, 'Have fun, and enjoy the right portions of beers before the game, and that’s all, enjoy it.'"

[@BeanymanSports]
 
5-0

Rooney:

"Mancity hawataifunga manjesta tu Bali wataisambaratisha"
 
Atakuja Rasmus Hojjlund au Goncalo Ramos. Mmojawapo akiungana na Greenwood watu wataita maji mma
 
Takwimu zako si za kweli. Sancho hana goli 3
 
Kuna tapeli Simba wamemsajili Ni muholanzi eti Ni skauti wakati Ni dalali tu


Ndiye kamleta na Sawadogo


Tasnia ya Utapeli imehamia kwa Waholanzi


Anthony Santos
€100m

Goals 4
 
Taito kunitenda umeamkaje
Sisi Ni washindan halisi , ligi inaanza manjesta ndio mlikuwa mnajiita taito contender kisa mmesajili kwa €250m


WACHAMBUZI nguli tukasema manjesta na Spurs Ni janja janja tukasema kwa mpira ule mtakata Moto


March tu mkatupa Taulo
 
Atakuja Rasmus Hojjlund au Goncalo Ramos. Mmojawapo akiungana na Greenwood watu wataita maji mma
Unasikiliza vzr lakin anachosema 7 hag?

Anataka CF wa uhakika na hojlund


Hojlund huwez kumtegemea kabisa kupambania EPL


Hojlund wakala wake ndiye Huyo Huyo wa 7 hag


Concalo Ramos anauzwa €80m , hapo mtapigwa tu nae Hana tofaut sana na Hojlund


Sasa hao Top CF waliopo sokon Ni KANE , VICTOR. ..

Labda mji skautie CF ,kitu ambacho 7 hag huo uwezo Hana


Ndio maana wahafidhina walihoji kwanini asingeingia academy pale akabeba CF akampa nafasi , kuliko akaenda kumleta Werghost
 
Academy kuna striker yupi? Greenwood hafungi? Ni upuuzi kusema striker ni Kane na Osimheni tu.
 
Atakuja Rasmus Hojjlund au Goncalo Ramos. Mmojawapo akiungana na Greenwood watu wataita maji mma
Labda Greenwood nitashawishika

Ila sitashangaa 7 hag akimrudia Vicent ABOUBAKARI au kumbakisha Werghost

Kane kwa EPL bila €150m humpati, na akiondoka benzema anaenda Madrid kwa €100m


Victor Ni €134-150m
 
Academy kuna striker yupi? Greenwood hafungi? Ni upuuzi kusema striker ni Kane na Osimheni tu.
Greenwood ungemjuaje bila maamuz magumu kupandishwa ?

Rashford ungemjuaje bila kupandishwa kutoka academy?


Sasa Werghost amefanya Nini ?

Charlie McNeill ana potential kuliko Werghost

The same Garnacho ana msaada mkubwa kuliko Anthony
 
Labda Greenwood nitashawishika

Ila sitashangaa 7 hag akimrudia Vicent ABOUBAKARI au kumbakisha Werghost

Kane kwa EPL bila €150m humpati, na akiondoka benzema anaenda Madrid kwa €100m


Victor Ni €134-150m
Kwani big spenders waEPL ni kina nani? Kane anaweza asiende man u kwa sababu mbili tu; umri na Levy kukataa kumuuza timu pinzani kwenye ligi. Trust me Osimhen atakayepeleka £100m anambeba ilakikwazo ni injury prone tu
 
Sisi Ni washindan halisi , ligi inaanza manjesta ndio mlikuwa mnajiita taito contender kisa mmesajili kwa €250m


WACHAMBUZI nguli tukasema manjesta na Spurs Ni janja janja tukasema kwa mpira ule mtakata Moto


March tu mkatupa Taulo
Wachambuzii nguli mkadanganya watu kuwa Arsenal inaenda kudominate European football kwa miaka kumi ijayo😄
 
Kwani big spenders waEPL ni kina nani? Kane anaweza asiende man u kwa sababu mbili tu; umri na Levy kukataa kumuuza timu pinzani kwenye ligi. Trust me Osimhen atakayepeleka £100m anambeba ilakikwazo ni injury prone tu
Kuna kitu mashabik wengi wa manjesta hamkijui, Timu bado haijauzwa , halafu manjesta Wana limitation ya budget , ili umpate Kane kwa timu ya EPL unahitaji €150m ,nje ya EPL €100m .Ndio maana Kama Kane atabaki Basi itabidi asubiri msimu mmoja zaidi awe free.

Victor alinunuliwa na Napoli kwa€80m, so De laurentias kasema bila €134m hafanyi biashara.


Madrid wanasubiri tu Benzema aage ,wamalizane na Kane

Ugumu unakuja hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…