Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United inacheza leo na dunia nzima ina furaha


Prediction

Bournemouth 1 vs Manchester United 3

Time
11:00 jioni

Last match
Manchester United 3 vs Bournemouth 0

Bournemouth mnacho cheza nacho hakika kitawaramba



Pigaaaaa
Uaaaaaaaa
Chinjaaaaaaa
Malizaaaaaaa


GGMU




 
Ila Wamarekani wameharibu sana soka la Uingereza. Naamini timu kama United, Liverpool & Arsenal zikipata investors wa maana zita-dominate sana soka la Europe.

Tayari Newcastle wameonyesha njia waliyopita PSG na City ndiyo football inakoelekea. Pesa na watu sahihi ndiyo njia ya kufikia mafanikio.

Mwarabu apewe timu.
 
Liva akipigwa tu tuna uhakika uefa,ila hii sio sawa kabisa kusubiri mpaka mwisho wa msimu ,next time Ten hag asilete huu ujinga.

Baada tu ya kuchukua carabao timu inacheza chini ya kiwango
Ten Hag zile Sub zake za kipuuzi zilinifanya nikapoteza matumaini kabisa.
Msimu ujao akipata wachezaji wazuri huenda tukabeba kombe lolote la maana ukiachana na Carabao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…