Daaaahhhh forward kule mbele zinatuangusha sana.
7Hag na leo tena kipindi cha pili ukimtoa AWB, Anthony na Casemiro ramsi nakuingiza kwenye orodha ya majasusi wa Uholanzi.
Martial na Fred ni takataka zisizostahili kuwepo kwenye kikosi cha Utd msimu ujao.