Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Huu ndio usajiri bora manchester united wamefanya ktk sajili zao anaweza kucheza hovyo baadhi ya mech ila haiondoi uhalisia kakosa washambuliaji makini

Assist yangu bora ya msimu aliipiga goli la pili mech ya arsenal bonge moja la assist toka kwa huyu fundi

Bruno Fernandes mnyama
 
Tigo prepaid ni nini?
Security deposit ni nini?

Nimeiona kwenye menu ya tigo

Chief-Mkwawa
Unamaanisha postpaid? Ni huduma ya vifurushi kwa mkataba wa miaka 2, kila mwezi wanakuingizia bando husika mlilokubaliana hata kama huna hela, ukipata hela unalipa.

Security deposit ni kiasi unaweka kama dhamana incase usipolipa kifurushi cha watu.
 
Ndugu yangu Ostaz hamis77 jukwaa letu limepoa sana tunakuomba uje utuchambulie jinsi Nyumbu tutakavyofungwa na Brighton halafu Arsenyani atakavyompiga Chelsea, Newcastle, Brighton, Forest na Wolves kisha kutawazwa kua ni bingwa wa Premier League.
 
Ushindi wa Jana mmeokota pochi ya mzungu.
Chelsea nyinyi ni ndugu zetu kabisa, tunawaomba kesho msituangushe kupeleka matanga rasmi pale Emirates.


Chelsea ingawa hampo kwenye ubora wenu hivi sasa lakini tusisahau kuwa nyie ni:
- Klabu ya mwisho ya kiingereza kushinda Ligi ya mabingwa Ulaya

- Klabu ya mwisho ya kiingereza kushinda Europa League

- Klabu ya mwisho kutoka London kushinda kombe la Ligi kuu ya Uingereza

- Klabu ya mwisho ya kiingereza kushinda kombe la Super Cup

- Klabu ya mwisho ya kiingereza kushinda kombe la dunia la vilabu la FIFA

Chelsea nyie ndio FAHARI ya London sio hii misule ya Arteta.

 
He can go his asshole and deep his arm there and wait for a custody
 
Chief THE BLUES kwa sasa tunatembea peku kwenye mbigiri. Hizo sifa unazotupa tunashukuru ila kesho tukiwangusha msitukane.
Hizi kima za Arteta sasa hivi ziko very dispirited, mimi nina imani mtazifunga, na hata ikishindikana kuzifunga ila mnauwezo wa kutoa kudraw.
Hakikishe huyu marehemu Tembo asirudi tena juu ya mti hata kwa sekunde mbili.
 
Scenes from last night


#𝙏𝙧π™ͺπ™¨π™©π™π™π™šπ™‹π™§π™€π™˜π™šπ™¨π™¨π™€π™π™ƒ

#π™π™£π™žπ™©π™šπ™™π™›π™€π™§π™©π™π™šπ™π™–π™£π™¨

#π™‚π™‘π™–π™―π™šπ™§π™Šπ™π™

#π™‚π™‚π™ˆπ™


man utd |
 
Marcus Rashford intervened in a nightclub earlier this month to save Aston Villa forward Alisha Lehmann from being swamped by a β€˜mob of blokes’.

Though he had never met her, Marcus Rashford recognised Alisha Lehmann, inviting her into a private area of the club away from the crowds. [The Sun Football]

#𝙏𝙧π™ͺπ™¨π™©π™π™π™šπ™‹π™§π™€π™˜π™šπ™¨π™¨π™€π™π™ƒ

#π™π™£π™žπ™©π™šπ™™π™›π™€π™§π™©π™π™šπ™π™–π™£π™¨

#π™‚π™‘π™–π™―π™šπ™§π™Šπ™π™

#π™‚π™‚π™ˆπ™


man utd |
 
Donny van de Beek: "I'm very busy with my recovery and everything is going well. It's difficult to give a [return] date. I'm doing a lot of indoor work and getting closer to the pitch, which is positive."

"Of course I want to be with the guys, but that's how it is, so I support them from my side. They always ask me how it's going, how's the knee. They're very good guys and they support me."

#𝙏𝙧π™ͺπ™¨π™©π™π™π™šπ™‹π™§π™€π™˜π™šπ™¨π™¨π™€π™π™ƒ

#π™π™£π™žπ™©π™šπ™™π™›π™€π™§π™©π™π™šπ™π™–π™£π™¨

#π™‚π™‘π™–π™―π™šπ™§π™Šπ™π™

#π™‚π™‚π™ˆπ™


man utd |
 
A return to Borussia Dortmund for Jadon Sancho is not ruled out. There is yet to be any direct communication over a potential move, but sporting director Sebastian Kehl is constantly in contact with Sancho’s agency.

[BILD]
#𝙏𝙧π™ͺπ™¨π™©π™π™π™šπ™‹π™§π™€π™˜π™šπ™¨π™¨π™€π™π™ƒ

#π™π™£π™žπ™©π™šπ™™π™›π™€π™§π™©π™π™šπ™π™–π™£π™¨

#π™‚π™‘π™–π™―π™šπ™§π™Šπ™π™

#π™‚π™‚π™ˆπ™


man utd |
 
#MUFC, Tottenham, and Newcastle are interested in signing James Maddison, who will be available for a fee between Β£45-60 million.


#Telegraph
#𝙏𝙧π™ͺπ™¨π™©π™π™π™šπ™‹π™§π™€π™˜π™šπ™¨π™¨π™€π™π™ƒ

#π™π™£π™žπ™©π™šπ™™π™›π™€π™§π™©π™π™šπ™π™–π™£π™¨

#π™‚π™‘π™–π™―π™šπ™§π™Šπ™π™

#π™‚π™‚π™ˆπ™


man utd |
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…