Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Naona manutd tumeshatolewa tunawachekea sana wapumbavu aina ya magwaya
 
😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Nadhani Man utd inaonesha moja ya madhara ya timu kumilikiwa na watu binafsi. Timu kubwa sana, ina mashabiki wengi duniani kote, historia kubwa ila ina average players kibao. Kwani madrid wanatushinda wapi? Wangekuwa wanaacha tu kushabikia timu ningeasha zamani sana kushabikia hii timu. Ila ni ngumu.
 
Ukiona mtu kajib mambo ya kipuuz ww usiangaike kumQuote.. KumQuote kwako sisi tuliye muIgnore tunafny tuone ujinga wake.. Ww achana nae weka ignore list tuendelee na kujadili mpr kwa utan na sio matusi ya hawa watt wa ovyo.

N.B:leo man u mnaweza wapa vijana wa Pressing n overloading haueni naona kbs kwa mnavocheza kaz mnayo.
 
πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ auzwe tu
 

Attachments

  • 20230420_225918.jpg
    88.8 KB · Views: 10
Ngoja tuone kama ni kweli watawaweka sokoni wachezaji 11 kama kocha alivyosema ili aweze kusajili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…