@hamis77 pamoja na ushabiki wake wa kuiponda Man utd lakini hawezi kufikia upuuzi wa huyu jamaa.
Hamis ni mtu anaujua mpira na ushabiki wa utani katika ushindani, lakini hata siku moja huwezi kumkuta ametukana matusi machafu yenye kumvunjia hata yeye mwenyewe heshima yake.