Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Martial out kwamba ndo tumemaliza game??
Makubwa
Tunaongoza 2 - 0. Martial kuendelea kubaki uwanjani ni risk sana. Huyo ndiyo tegemezi baada ya Rashford kuumia.

Jumapili tuna mechi tena na tupo kwenye top 4 race, ni muhimu kocha kulinda wachezaji wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…