Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Naomba pia kuchukua nafasi ya ndugu ARV

Hapo unaweza kuona title contender ana GD ya 6 wakati Top four contenders wana 43+

Ukinuna uwe na sababu
Mechi mbili dhidi ya newcastle united na crystal palace zilitosha kuwaondoa arsenal kwenye mbio za top 4, hawa wapumbavu wa tottenham kumbe wametukalia vibaya namna hiyo.

Nileteeni eriksen kabla ya jua halijazama
 
Utaahira ni mzigo mzito sana kwahiyo walipofungwa kwenye fainali ya Carabao hao wachezaji wako uliowataja hawakuwa wamesajiliwa?

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Wanatakiwa kucheza gem ngapi
 
Sijaitumia mda kuna update mpya? Uki update kawaida matangazo yanarudi
Chief nipe msaada wa mawazo.
Natumia laini ya tigo lakini kwa takribani miezi miwili sasa nakumbana na changamoto hii:

Baadhi ya wakati nashindwa kupata acces ya mtandao wa twitter na telegram.

Kwa mfano leo mara ya mwisho kuingia kwenye tovuti hizo ni saa 3 asubuhi.

Pengine hapo naweza kufika kesho bado sijapata access.

Cha ajabu zaidi tatizo hilo likijitokeza nashindwa kuconnect hata vpn
 
#Matchday
Premier League - GW29
New Castle
Sun, Apr 2, 𝟙𝟠:𝟛𝟘
St. James' Park


#TrustTheProcessETH

#UnitedfortheFans

#GlazerOUT

#GGMU


man utd |
 
Although Luke Shaw, Anthony Martial, and Marcel Sabitzer were not seen getting off the bus with the #mufc, they may have travelled directly to the terminal instead.

[MEN]

#TrustTheProcessETH

#UnitedfortheFans

#GlazerOUT

#GGMU


man utd |
 
Jaribu kuangalia access point mkuu, access point za wap ama web zina tabia ya kuchagua website, nenda setting kisha kwenye mobile network ingia access point name tengeneza Apn mpya iwe na neno Internet.
 
Bruno Fernandes has played 90 minutes in every Premier League game he's been available for this season (25/26)


#TrustTheProcessETH

#UnitedfortheFans

#GlazerOUT

#GGMU


man utd |
 
Erik ten Hag on Wout Weghorst potentially part of his long-term plans: "Of course. I think he is doing a lot of elements of football really well — Wout is doing a really good job for us".


Loan deal from Burnley does not include buy option clauses.

#TrustTheProcessETH

#UnitedfortheFans

#GlazerOUT

#GGMU


man utd |
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…