D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,022
Mechi mbili dhidi ya newcastle united na crystal palace zilitosha kuwaondoa arsenal kwenye mbio za top 4, hawa wapumbavu wa tottenham kumbe wametukalia vibaya namna hiyo.Naomba pia kuchukua nafasi ya ndugu ARV
Hapo unaweza kuona title contender ana GD ya 6 wakati Top four contenders wana 43+
Ukinuna uwe na sababu
Utaahira ni mzigo mzito sana kwahiyo walipofungwa kwenye fainali ya Carabao hao wachezaji wako uliowataja hawakuwa wamesajiliwa?Tukiweka ushabiki pembeni siioni manjesta ya kumfunga Newcastle yenye Kiungo Bruno Guimares , Winga Saint Maximin , Alexender Isack ,kipa Nick pope
Na wale mabeki wao warefu
Bado sioni Mkipona leo ,japo mpira muda mwingine una maajabu yake
Prediction
Newcastle 2 manjesta 0
Wanatakiwa kucheza gem ngapiWueh! Michael Carrick namuona akiwapandisha daraja Middlesbrough msimu huu. Nakumbuka kipindi anapewa timu walikuwa mkiani kabisa wakiwa wamecheza michezo 16 na kupata 17 ila sasa hivi alama 70 tayari, alama moja tu nyuma ya Sheffield United aliye nafasi ya pili. Japokuwa wote wapo uwanjani mpaka muda huu.
Wanajua haoNaomba pia kuchukua nafasi ya ndugu ARV
Hapo unaweza kuona title contender ana GD ya 6 wakati Top four contenders wana 43+
Ukinuna uwe na sababu View attachment 2573345
Tukishinda napo utakuja hapa na kusema, hadi kwa Newcastle mnacheza mpira wa kuviziaKwa Newcastle Leo Kaz mnayo ,mkikaza Sana Sare
Mkipigwa ,Europa inawaita
Chief nipe msaada wa mawazo.Sijaitumia mda kuna update mpya? Uki update kawaida matangazo yanarudi
Jaribu kuangalia access point mkuu, access point za wap ama web zina tabia ya kuchagua website, nenda setting kisha kwenye mobile network ingia access point name tengeneza Apn mpya iwe na neno Internet.Chief nipe msaada wa mawazo.
Natumia laini ya tigo lakini kwa takribani miezi miwili sasa nakumbana na changamoto hii:
Baadhi ya wakati nashindwa kupata acces ya mtandao wa twitter na telegram.
Kwa mfano leo mara ya mwisho kuingia kwenye tovuti hizo ni saa 3 asubuhi.
Pengine hapo naweza kufika kesho bado sijapata access.
Cha ajabu zaidi tatizo hilo likijitokeza nashindwa kuconnect hata vpn
Nitarud saa 2 na nusu usikuUtaahira ni mzigo mzito sana kwahiyo walipofungwa kwenye fainali ya Carabao hao wachezaji wako uliowataja hawakuwa wamesajiliwa?
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
hahaha matangazo katikati ya mechi mkuu au kabla haujaanza stream?Nimeupdate takribani mwezi mmoja nyuma.
Kilichoongezeka ni matangazo
Kabla, mara nyingi ni Yale ya kutangaza application nyenginezohahaha matangazo katikati ya mechi mkuu au kabla haujaanza stream?