Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nyumbu nyumbu nyumbu nme waita mala 3 nataka goli 2 tu kwenye match yenu
 
Rashford sijui kala maharage ya wapi

Pelistri sijui kala maharage ya wapi

Casemiro sijui kala maharage ya wapi

Weghost sijui kala maharahe ya wapi

 
Rashford sijui kala maharage ya wapi

Pelistri sijui kala maharage ya wapi

Casemiro sijui kala maharage ya wapi

Weghost sijui kala maharahe ya wapi


Uyu Weghorst sijui ni kwa sababu ni mdachi mwenzake 10 Hag….. lkn kiuhalisia sio no 9 wakucheza Man U game nyingi saana jamaa anazingua tu hawezi hata kukaa na mpira sec30
 
Real betis ni vile tu wamekosa umakini kwenye umaliziaji, kwa mpira tuliocheza kipindi kwanza tulipaswa tuwe tumeshagongwa zaidi ya goli 5.
Maguire, Martinez na De Gea ndio wachezaji pekee waliocheza kwa kiwango ila waliobaki wote ni utopolo mtupu.
Kwa utumbo huu tunaocheza kila siku De Gea atakua Man of the match.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…