Sweta LA Tanzania
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 902
- 2,836
kila kombe unaota wewe Uefa champions league mpo auFans United wenzangu Wala msiogope hizi kelele tunazopigiwa hapa ni kuonyesha jinsi gani sisi ni tishio uwezi kuta
Liverpool
Arsenal
Chelsea
Man City
hata zifungwe zikaandamwa hivi
Huu ni ujumbe kuwa tumekuwa timu tishio ndo maana ya kelele zote izi tungekuwa wa bovu kama Chelsea hizi kelele zingekuwa azipo kabisa.
Kwaiyo tutembee kifua mbele tuna bonge la kocha tupo bado nafasi nzuri kwenye ligi tupo kwenye kila kombe msimu huu.
kupigwa goal nyingi Amna mwenye ajawai chapwa anaebisha aje hapa na takwimu kuwa ajawai pigwa goli za kutosha.View attachment 2540121
Mkuu raha ya ushabiki ni nini kama sio kelele?Hapana hatuna shida na utishio WENU
Mna kelele Sana kelele za dharau mlidharau sana mechi Ile kabsa nakwambia hakuna mtu Humu aliogopa Ile mechi, dharau zilikua nyingi Sana aisee which was bad
Yaani dharau unaziona kwa kocha kabisa, siogopi anfield automatically wachezaji nao wakawa na akili kama za kocha
Anfield pa kawaida nyoko nyoko pale Pana majini na hayapendi dharau muulize messi alisema ule uwanja anauogopa Sana na Haupendi
Hata Carlo katupiga juzi alikuja kama underdog katupiga kama mbwa
Mkuu raha ya ushabiki ni nini kama sio kelele?
unadhani ni Kwanini timu nyingi zinapenda kucheza zikiwa nyumbani ujui ni sababu ya kelele za mashabiki.
Yani Kwaiyo raha ya mpira ni nini kama watu hatuta Piga kelele na kusifia timu zetu?
Yani
Tumia dawa 3Liverpool alipigwa goal 5 na real Madrid tena akiwa kwake lakini hawakupigiwa kelele kama tunazopigiwa sisi hapa ndo utajua United ni moja tu duniani.
Watu wanasema tuna mdomo na kelele sasa raha ya ushabiki ni nini kama mnashinda na kuishia kukaa kimya tu.
Sisi hatuwezi kuacha kelele maana ndo raha ya ushabiki huo kama mnaona tunawapigia kelele mtu block kwenye majukwaa yenu.
Yani
Ubingwa tusiwe tunachukua
Kiwango kizuri tusiwe nacho.
Uefa tusicheze
Na mdomo nao mnataka tusiwe nayo acheni zenu bhana tunasema hivi kwa yoyote hatae pigwa tunakuja kulianzisha huko Kiufupi.
Tunaanza upyaaaaaaaaa
7 bila 7 bila 7 bila wamebana wameachiaLiverpool alipigwa goal 5 na real Madrid tena akiwa kwake lakini hawakupigiwa kelele kama tunazopigiwa sisi hapa ndo utajua United ni moja tu duniani.
Watu wanasema tuna mdomo na kelele sasa raha ya ushabiki ni nini kama mnashinda na kuishia kukaa kimya tu.
Sisi hatuwezi kuacha kelele maana ndo raha ya ushabiki huo kama mnaona tunawapigia kelele mtu block kwenye majukwaa yenu.
Pesa za usajili wa wachezaji zinatokana na mapato ya timu na siyo pesa kutoka kwa Glazers.Grazzer wamekuwa wanatoa pesa ila watumiaji ndio wajinga , najiuliza hata akija huyo mwarabu kipi kipya ataleta ? Labda kuboresha miundombinu ,ila swala la pesa la usajili mnadanganyana tu ,takwimu zinasema Grazzer wametoa pesa inayokaribiana na ya matajiri wa mancity
Mfano dirisha kubwa huyo Ten hag kapewa €250m kachukua €100m kamnunua Anthony , yule malacia kamnunua lakini kafeli kuingia kikos Cha Kwanza
Kwahiyo Grazzer muwalaumu kwenye kutojenga miundombinu ila sio kwenye usajili
Arsenyani mnatetemeka maana wakija Qataris mtaishia kupambania top 4 tu. Ubingwa itakuwa ni United na City tu.Waarabu wapi na wewe.. lini umesikia Glazzers wanataka kuuza sehemu yao ya kupatia ugali.
Kwanza hawakutoa pesa yao mfukoni kuinunua. Club inajiendesha yenyewe kwa madeni. Jamaa hawatoi jasho.
Mwarabu pekee ataewamiliki ni Mo Salah😂😂
Daaaah asante dada zetu wametufichia aibu ngoja sasa nipost na hii.Akina dada wamelipa kidogoView attachment 2540222
Hakika 7 nyingiii 🤣🤣🤣🤣Daaaah asante dada zetu wametufichia aibu ngoja sasa nipost na hii.
Kabla ya ule mdinyo WA goli 7 kulikuwa kuna chambuzi zinachekesha za wanaunyumbuni humu...kama Ile ya Wana uwezo WA kuifunga timu yoyote barani ulaya Kwa sasahvHapana hatuna shida na utishio WENU
Mna kelele Sana kelele za dharau mlidharau sana mechi Ile kabsa nakwambia hakuna mtu Humu aliogopa Ile mechi, dharau zilikua nyingi Sana aisee which was bad
Yaani dharau unaziona kwa kocha kabisa, siogopi anfield automatically wachezaji nao wakawa na akili kama za kocha
Anfield pa kawaida nyoko nyoko pale Pana majini na hayapendi dharau muulize messi alisema ule uwanja anauogopa Sana na Haupendi
Hata Carlo katupiga juzi alikuja kama underdog katupiga kama mbwa
Washaanza kuona mwanga wa mafanikio mbeleni mbwa waleeeMkuu Wale matajiri wa kiMarekani sijajua kama wako radhi kumuachilia ng'ombe wao wa maziwa yaani namaanisha Club ya Man Utd
Kumbe leo ni tarehe 7 View attachment 2540324