Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu kubali kuwa mpira matokeo yake yanapatikana uwanjani kifupi wachezaji wetu wamechoka sana na pia leo sisi hatukuwa na bahati maana sisi ndio tulianza kupata nafasi tukachezea lakini angalia Liver kila mpira wataopiga golini kwetu unazaa goli tukubali kuwa tumebaki na makombe mawili tuheshimu wenzetu tuache hasira hii game Liver walikuwa na hamu nayo kuliko sisi.
 
Man u inacheza watu wote wana huzuni.


Genge la wahuni limepigwa na kitu kizito😅😅😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…