kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 6,142
- 15,759
Kila mtu ana namna yake anavyoangalia mpira,,,,Kwa United ya sasa Wout hawezi kukaa nje. Ila kwa sababu umesema ni "my starting XI" acha tuishi hivyo.
Bayern Munich wanataka kiasi kisichopungua 18m ili watuachie Marcel SabitzerSummer tunahitaji proprer RB
Tunahitaji replacement ya Casemiro,,, mmeona Ni jinsi gani ile red ilitugharimu, je ikitokea amepata majeraha ya muda mrefu ?
Sabitzer tungebaki nae asaidiane na Ericksen ,,, tubonge na Bayern watuuzie jumla !
Tunahitaji proprer CF , wout ataondoka mwisho wa msimu !
Pia walau CB mmoja wa kumchalenge varane(anapata injury Mara kwa Mara)
Kuna magarasa ya kusepeshwa
Jones
Martial (anafaa kuwa back up lakini Ni injury prone )
Dalot/AWB mmoja asepeshwe, !
Lindelof ni midterm player
Maguire kwa umri ule hawez kuimprove Tena
Scotty,,at 26 habadiliki Hana jipya asepe timu za levo zake !!!!!
Kina amad, kobemainoo, Zidane, facundo Ni potential, taratibu wanaingia kwenye first eleven!
Mwarabu apewe timu haraka sanaTukitoboa mechi ya leo (na Barca) na Ile ya jumapili (final ya carabao na Newcastle) nitamnyooshea mikono ETH.
Hizi match zinanipa wasiwasi kwa kweli. Naona kama wachezaji wamekua na overconfidence
Aggregate itakua ni 4-4. Hivyo wataongezewa dakika 30 za kucheza. Kama kukiwa hakuna mshindi katika dakika hizo, David De Gea na Marc Andre TerStegen watawajibika kutuonyesha ubora wao katika changamoto ya mikwaju ya penati.Kama tokeo likiwa 2 vs 2, inakuaje?
Mchezaji anayetupa matokeo Rashid ndiye anaongoza kwa disappointments. Mpaka najiuliza huwa hakemewi!!Tukitoboa mechi ya leo (na Barca) na Ile ya jumapili (final ya carabao na Newcastle) nitamnyooshea mikono ETH.
Hizi match zinanipa wasiwasi kwa kweli. Naona kama wachezaji wamekua na overconfidence
Licha ya hiyo..mimi nachohofia ni mechi zinavyofuatana hivi..uchovuTukitoboa mechi ya leo (na Barca) na Ile ya jumapili (final ya carabao na Newcastle) nitamnyooshea mikono ETH.
Hizi match zinanipa wasiwasi kwa kweli. Naona kama wachezaji wamekua na overconfidence
Jersey za msimu wa 2023/2024
BEI…25000
0788929673
midfield ya barca leo: De jong-Biskuti-KessieBarça watawakosa hawa madogo pale kati,View attachment 2527629
Kina bruno wakitumia hii chance vyema hakika matokeo chanya yatapatikana.
midfield ya barca leo: De jong-Biskuti-Kessie
Tukitoboa mechi ya leo (na Barca) na Ile ya jumapili (final ya carabao na Newcastle) nitamnyooshea mikono ETH.
Hizi match zinanipa wasiwasi kwa kweli. Naona kama wachezaji wamekua na overconfidence