Anthony anajua... Ila Gakpo anajua zaidi... Gakpo asipofunga anakupa assist za kutosha.. Hapo dawa mi naona wawepo wote tu then tuone nani atafaulu na nani atafeli.. Maana kumekuwa na shida sana kwa wachezaji wa uholanzi kutoboa uingereza. Ni wachache wamehamia uingereza wakatoboa
Match fitness Hana,,,,ako na program maalumu, ndio maana wamefanya decision asiende Spain abaki Manchester kuendelea kujiweka fit,,,, ! Kumbuka ametoka injury,,,,
Sacho
AWB
Williams.,,, Bado hawajawa fit kiviiile !