Trust the processCr7 mzee ni bora kuliko rashford, elanga, martial, antonty, Sancho kwa pamoja
Mkubali kuwa mmeshindwa kumtumia cr7
Cr7 ni tunu
Kijiji bila wazee ni kikundi cha wahuni
Nyie wapuuzi mjiandae kumtoa mbuzi mwingine wa kafala
Mmeacha mpira, mmekua washirikina washirikana tu
Kwani saivi unadhani anaenda wapi?..Bayern,Real Madrid au wapi?..Big No.Afadhali mashabiki wa CR7 tutapumua sasa, maana ilikuwa inatukera sana kumuona kwenye team iliyokufa kitambo.
Nitaishabikia Man Utd na ubovu wake kwa amani bila presha, maana kuna muda ilikuwa inapigwa kisha nabaki kumskikitia CR7.
Katafute team nzuri ustaafu vizuri legend.
Wewe ni wakala wake au mke wake, mpaka uwe na taarifa za uhakika juu ya uhamisho wake?Kwani saivi unadhani anaenda wapi?..Bayern,Real Madrid au wapi?..Big No.
Ni either Sporting Lisbon,Roma(Unlikely),Lazio..au USA MLS.
He is finished.
Tunaitunza hii commentKwani saivi unadhani anaenda wapi?..Bayern,Real Madrid au wapi?..Big No.
Ni either Sporting Lisbon,Roma(Unlikely),Lazio..au USA MLS.
He is finished.
Nafikri tusuke kwanza kikosi kiwe na matuamaini, hatuwezi kuwaza kupata PRIME goal machine kwa aina hii ya team tuliyonayo.Vlahovic.
Gapko.
Lautaro Martinez.
Sesko.
Osimhen.
Kane.
Ni muda sasa tuingie sokoni kutafuta goal machine wa kujaribu kukimbizana na watu kama Haalland..na sio tia maji tia maji..Hao hapo juu kuna anayeweza kufanya hiyo kazi??
Una miaka 20 ya kukaa without big trophies kuanzia mwaka huu 2022 Ronaldo anaendelea kula bilions zakeKIRUSI kimeondoka..Thanks MUFC.
Kwa kikosi kilichopo tunahitaji Halland tuongoze league.Nafikri tusuke kwanza kikosi kiwe na matuamaini, hatuwezi kuwaza kupata PRIME goal machine kwa aina hii ya team tuliyonayo.
Hasa wakiangalia wachezaji walioua career zao kwenye hii team.
Hapo Gapko - January plus Vlahovic au Osimhen - June.Vlahovic.
Gapko.
Lautaro Martinez.
Sesko.
Osimhen.
Kane.
Ni muda sasa tuingie sokoni kutafuta goal machine wa kujaribu kukimbizana na watu kama Haalland..na sio tia maji tia maji..Hao hapo juu kuna anayeweza kufanya hiyo kazi??
Wamiliki wamemwachia jamaa Kwa Shingo upande Sana , Ila najua Wana hasira na kocha 😁 sa hv wanawaza tuu huyu msenge timu isipoingia top 4 , tunamfukuzaCr7 mzee ni bora kuliko rashford, elanga, martial, antonty, Sancho kwa pamoja
Mkubali kuwa mmeshindwa kumtumia cr7
Cr7 ni tunu
Kijiji bila wazee ni kikundi cha wahuni
Nyie wapuuzi mjiandae kumtoa mbuzi mwingine wa kafala
Mmeacha mpira, mmekua washirikina washirikana tu
January sina uhakika kama tunaweza kumpata Vlahovic au Osimhen ila yeyote kati ya hawa machalii tutakuwa tumelamba dume. Osimhen tuliwekewa mezani ila prioty ilikuwa kuboresha upande wa kulia (Antony).Kwa kikosi kilichopo tunahitaji Halland tuongoze league.
Striking force pekee ndo inazingua.
Lautaro MartinezVlahovic.
Gapko.
Lautaro Martinez.
Sesko.
Osimhen.
Kane.
Ni muda sasa tuingie sokoni kutafuta goal machine wa kujaribu kukimbizana na watu kama Haalland..na sio tia maji tia maji..Hao hapo juu kuna anayeweza kufanya hiyo kazi??