Green Beret
JF-Expert Member
- Apr 22, 2022
- 631
- 991
Tunaitunza hii commentKwani saivi unadhani anaenda wapi?..Bayern,Real Madrid au wapi?..Big No.
Ni either Sporting Lisbon,Roma(Unlikely),Lazio..au USA MLS.
He is finished.
Nafikri tusuke kwanza kikosi kiwe na matuamaini, hatuwezi kuwaza kupata PRIME goal machine kwa aina hii ya team tuliyonayo.Vlahovic.
Gapko.
Lautaro Martinez.
Sesko.
Osimhen.
Kane.
Ni muda sasa tuingie sokoni kutafuta goal machine wa kujaribu kukimbizana na watu kama Haalland..na sio tia maji tia maji..Hao hapo juu kuna anayeweza kufanya hiyo kazi??
Una miaka 20 ya kukaa without big trophies kuanzia mwaka huu 2022 Ronaldo anaendelea kula bilions zakeKIRUSI kimeondoka..Thanks MUFC.
Kwa kikosi kilichopo tunahitaji Halland tuongoze league.Nafikri tusuke kwanza kikosi kiwe na matuamaini, hatuwezi kuwaza kupata PRIME goal machine kwa aina hii ya team tuliyonayo.
Hasa wakiangalia wachezaji walioua career zao kwenye hii team.
Hapo Gapko - January plus Vlahovic au Osimhen - June.Vlahovic.
Gapko.
Lautaro Martinez.
Sesko.
Osimhen.
Kane.
Ni muda sasa tuingie sokoni kutafuta goal machine wa kujaribu kukimbizana na watu kama Haalland..na sio tia maji tia maji..Hao hapo juu kuna anayeweza kufanya hiyo kazi??
Wamiliki wamemwachia jamaa Kwa Shingo upande Sana , Ila najua Wana hasira na kocha 😁 sa hv wanawaza tuu huyu msenge timu isipoingia top 4 , tunamfukuzaCr7 mzee ni bora kuliko rashford, elanga, martial, antonty, Sancho kwa pamoja
Mkubali kuwa mmeshindwa kumtumia cr7
Cr7 ni tunu
Kijiji bila wazee ni kikundi cha wahuni
Nyie wapuuzi mjiandae kumtoa mbuzi mwingine wa kafala
Mmeacha mpira, mmekua washirikina washirikana tu
January sina uhakika kama tunaweza kumpata Vlahovic au Osimhen ila yeyote kati ya hawa machalii tutakuwa tumelamba dume. Osimhen tuliwekewa mezani ila prioty ilikuwa kuboresha upande wa kulia (Antony).Kwa kikosi kilichopo tunahitaji Halland tuongoze league.
Striking force pekee ndo inazingua.
Lautaro MartinezVlahovic.
Gapko.
Lautaro Martinez.
Sesko.
Osimhen.
Kane.
Ni muda sasa tuingie sokoni kutafuta goal machine wa kujaribu kukimbizana na watu kama Haalland..na sio tia maji tia maji..Hao hapo juu kuna anayeweza kufanya hiyo kazi??
Madon wa UAE wataichukua mapema tu kabla ya PasakaKuna karibia kukucha.View attachment 2424576
Mimi hii habari bado sijaielewa, sasa hivi tunamilikiwa na Bank, sio kwamba tunahama tu bank moja kwenda nyengine? Kama wanataka kuuza ila kwa watu fulani tu na si mtu yoyote.Kuna karibia kukucha.View attachment 2424576
Na inavoonekana wanapendelea zaidi kama wataiuza wauze kwa wamerekani wenzao, tusishangilie sana.Mimi hii habari bado sijaielewa, sasa hivi tunamilikiwa na Bank, sio kwamba tunahama tu bank moja kwenda nyengine? Kama wanataka kuuza ila kwa watu fulani tu na si mtu yoyote.
Mpira haupo hivo, nowdays ufungaji wa magoli Ni mgawanyo wa wote had Viungo,Kwa kikosi kilichopo tunahitaji Halland tuongoze league.
Striking force pekee ndo inazingua.
Tunamilikiwa na Glazers.Mimi hii habari bado sijaielewa, sasa hivi tunamilikiwa na Bank, sio kwamba tunahama tu bank moja kwenda nyengine? Kama wanataka kuuza ila kwa watu fulani tu na si mtu yoyote.