Lazima tuadmit timu yetu inaangushwa sana na management sawaa
Ila Ronaldo hususani huyu wa uzeeni ni mtu wa hovyo difficult to manage yani upoteze kondoo kumi kosa kondoo moja zee hapanaaaa
Ronaldo ni sehem ya tatizo pia
Dawa yake ni kuendelea kubaki hapo, halafu hakuna kupangwa mechi yoyote, ili aondoke bure mkataba wake ukiisha. Amejilipua ili United wavunje mkataba, ambapo ikiwa hivyo itabidi alipwe!
Ni bora Man U ikamuachia akaenda zake kuendelea kumlipa pesa ya bure ni ujinga. Real Madrid tulifanya hivyo kwa Gareth bale mpaka msimu ulioisha jambo ambalo halikuwa na faida yoyote ile.
ETH secretly aliwaambia wamiliki kama wanataka pesa za matangazo basi Ronaldo abaki Ila kama wanataka timu ifanye vizur bas Ronaldo ni kirusi..Kwa sababu ya pressure ya mashabiki timu kutofanya vyema uwanjani waneamua kumsikiliza kocha , Ronaldo anajua Hana chake pale na anapangwa Tu kucheza just kusawazisha upepo ...na yeye siyo Fala Kias hcho.... !!
ETH secretly aliwaambia wamiliki kama wanataka pesa za matangazo basi Ronaldo abaki Ila kama wanataka timu ifanye vizur bas Ronaldo ni kurudi..Kwa sababu ya pressure ya mashabiki timu kutofanya vyema uwanjani waneamua kumsikiliza kocha , Ronaldo anajua Hana chake pale na anapangwa Tu kucheza just kusawazisha upepo ...na yeye siyo Fala Kias hcho.... !!