Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Dawa yake ni kuendelea kubaki hapo, halafu hakuna kupangwa mechi yoyote, ili aondoke bure mkataba wake ukiisha. Amejilipua ili United wavunje mkataba, ambapo ikiwa hivyo itabidi alipwe!

Hii ndiyo dawa, mpaka mkataba uishe
Ni bora Man U ikamuachia akaenda zake kuendelea kumlipa pesa ya bure ni ujinga. Real Madrid tulifanya hivyo kwa Gareth bale mpaka msimu ulioisha jambo ambalo halikuwa na faida yoyote ile.
 
Anataka bosi amheshimu ndipo na yeye amheshimu bosi asipoanza kumheshimu na yy hamheshimu ina maana kutakuwa na bosi wawili hapo


Nasemaga kila siku mchezaj alieastaafu kwa heshima akitoka kwenye matatizo ni zidane tu hakutaka mambo mengi.
 
Hamna si kumuua
Kwa tabia hii anaweza kukosa deal za pesa matajiri watamkimbia
ETH secretly aliwaambia wamiliki kama wanataka pesa za matangazo basi Ronaldo abaki Ila kama wanataka timu ifanye vizur bas Ronaldo ni kirusi..Kwa sababu ya pressure ya mashabiki timu kutofanya vyema uwanjani waneamua kumsikiliza kocha , Ronaldo anajua Hana chake pale na anapangwa Tu kucheza just kusawazisha upepo ...na yeye siyo Fala Kias hcho.... !!
 
Angekuwa pep angeshamla kichwa mapema tu dinho kolo toure wanamjua vizr
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…