Sema mlaini sasa akiguswa kidogo chali uyu afundishwe ROHO ngumu kama Gavi ni mdogo lakini kakichezewa kiatu kanaendelea tu labda aumie sana ndo atasimama...Foul kama 7+ zote kachezewa gnacho tu..BtW ni kafundi sana shida ndo iyo
Unachokiona mkuu ndio tatizo kubwa la Watu wa Tanzania. Mtanzania akiwa shabiki wa kitu au mtu, hata huyo mtu afanye madudu gani huwa hawayaoni na wako tayari kutetea hayo madudu kwasababu ya ushabiki.
wanadhani tunamchukia Ronaldo kwakuwa walitaka tusimame naye hata kwenye jambo lake la kijinga alilofanya dhidi ya kocha na timu nzima.