Umekuwa kama mpumbafu unajua??
Akina Cantona walikuwa na impact wakaondoka, wengine wengi watakuja watashine na wataondoka, so tupumzishe na Ronaldo wako.
Kwa sasa tunachoangalia ni timu kridishwa to its glory, haijalishi nani atafanya hivyo hata angekuwa Mgunda poa tu as long as timu yetu irudi kule tulikozoea.
So peleka ujinga wako huko, usituchefue hapa.
Mpuuzi nini
Sent from my SM-A207F using
JamiiForums mobile app