Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Waambie kuna msimu Pepe alifikisha mpk goli 11
kwahyo wasitishike na goli 3... huyo n Daniel James Tu WA pauni mil. 100

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
United mnachekesha sana, juzi hapa mlikuwa mnasema timu imekamilika baada ya kumleta Antony, casemiro, Martinez na eriksen. Hapo kuna malacia pia.

Tatizo la united kwa maoni yangu ni kwamba mnaamini kusajili ndio kuwa na timu. Tangu Ferguson aondoke mmekuwa na kazi moja tu ya kusajili kuridhisha mashabiki na kufanya biashara bila mipango mahsusi ya kutengeneza timu.
 
Tatizo litimu lao linasajili kwa kuangalia majina.

Eti juzi nipo kibanda umiza nikamsikia shabiki mmoja wa nyumbu anataka asajiliwe Jamaal Musiala, hivi Musiala atawasaidia nini kwenye timu yenu?
 
Waambie kuna msimu Pepe alifikisha mpk goli 11
kwahyo wasitishike na goli 3... huyo n Daniel James Tu WA pauni mil. 100

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Sisi tukisema tunaonekana wahafidhina,

Rio Ferdinand na yeye kasema winger za man u zote zijifunze kwa saka

Wingers za man u hasa Anthony zinachojua kurudisha mipira nyuma ,hawasaidii kukaba, Ni winger zisizotia njaa, leo hii ukicheza na Newcastle utaulizia kuna maximin ,ukicheza na Brighton utaulizia kuna trossard , ukicheza na palace utaulizia kuna zaha, ukicheza na Leeds utaulizia kuna Sinisteira, n.k

Man u Nan anaogopesha ? Labda rashford akiamka vizuri

Rio Ferdinand urges Man Utd stars to copy Bukayo Saka trait - "I love that about him"
 
Conte kashatangaza Vita

Conte on Cristiano Ronaldo:

“We lost 3-2, but we lost against him, not against United last season. I remember very well, because we played a very good game, and he solved the situation a lot.”
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…