John dillinger
JF-Expert Member
- Jun 15, 2020
- 2,537
- 3,039
Waambie kuna msimu Pepe alifikisha mpk goli 11Mm niliongea humu nikashambuliwa , eti kisa ana magoli 3
Scholes alisema kila mpira anarudisha nyuma
Niliwaambia humu hata magoli nicolas Pepe pale Arsenal alifunga sana kuliko saka , but mwenye impact kubwa Ni saka
Leo epl sidhan kama kuna timu inacheza na man u mabeki pinzani wamuhofie Anthony.
Kwa fomu zao za saiv ni bora aanze rashfod kulko ronado..Angeanza nani sasa mkuu sub ilikuwa aina wachezaji wakueleweka.
Mmekuwa wachawi, hata arsenal mlimloga partey ndio mkachomokaKikubwa tushukuru kwa kutokuwepo kwa Allan Saint-Maximin pamoja na Isak maana ingekua ni fedheha kubwa mno.
United mnachekesha sana, juzi hapa mlikuwa mnasema timu imekamilika baada ya kumleta Antony, casemiro, Martinez na eriksen. Hapo kuna malacia pia.Yani angekuwepo Maximin na Isak tungepigwa na kwa hali ile tusingerudisha. Safu yetu ya ushambuliaji mpaka wapate nafasi 20 ndiyo wafunge goli 1, wakipata nafasi chache zote watakosa.
Mashabiki wengi bado tunaishi kwa kuamini tuna timu nzuri, United bado ni timu kubwa lakini kwa kikosi tulichonacho hatuna tofauti na mid-table clubs tofauti yetu na wao, sisi tuna historia kubwa tu basi.
Tuna timu ya kawaida sana yani hizi timu ndogo zinapokosea zikicheza na sisi ni kupaki basi lakini zina uwezo wa ku-battle na wachezaji wa United na kuwamudu.
Hii timu ina-survive kwasababu ya jina lake tu lakini sioni cha ajabu wachezaji wanachofanya kuwazidi wachezaji wa Newcastle, Brighton, Brentford au West Ham.
Tatizo litimu lao linasajili kwa kuangalia majina.United mnachekesha sana, juzi hapa mlikuwa mnasema timu imekamilika baada ya kumleta Antony, casemiro, Martinez na eriksen. Hapo kuna malacia pia.
Tatizo la united kwa maoni yangu ni kwamba mnaamini kusajili ndio kuwa na timu. Tangu Ferguson aondoke mmekuwa na kazi moja tu ya kusajili kuridhisha mashabiki na kufanya biashara bila mipango mahsusi ya kutengeneza timu.
Sisi tukisema tunaonekana wahafidhina,Waambie kuna msimu Pepe alifikisha mpk goli 11kwahyo wasitishike na goli 3... huyo n Daniel James Tu WA pauni mil. 100
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Hata mimi ninamkubali sana angekuwa amerudi na yupo kwenye fomu yake Arsenal ingekuwa moto zaidi ya hivi sasa..Nimemkumbuka ESR dah ,majeruhi adui mbaya Sana kwa wachezaji
Dogo Ni ball carrier, akichukua mpira atalishambulia goal
Get well soon Emil Smith Rowe
Yule jamaa anautulivu mkubwa sana anapocheza angekutana na Ordegard na vipasi vyake na kina Martinel pale mbele watu wangeomba poo.Kuna moment zake nilikuwa nazicheki Leo Hadi machoz yametaka kunitoka
Baada ya hizi mechi familia ya glazer lazima wabebe lawama 😄Baada ya Hizi Mechi ten hag atalalamika anataka £250m nyingine January 🤣🤣🤣
next 4 league games
Tottenham (H)
Chelsea (A)
West Ham (A)
Aston Villa (A)
Sioni wakutupiga hapo mkuu labda wa draw tu.Baada ya Hizi Mechi ten hag atalalamika anataka £250m nyingine January
next 4 league games
Tottenham (H)
Chelsea (A)
West Ham (A)
Aston Villa (A)
Amka kutoka kwenye hiyo ndoto kabla mambo hayajaharibika.😂 Ushindi wenu leo ni sare.Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha
Prediction
Man united 2 vs Tottenham 0
Time
4:15 usiku
Stadium
Old trafford
Last match
Man united 3 vs Tottenham 2
View attachment 2391693