Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kama rashford na martial hawatakiwepo sijaona mbwa mwingine wa kutusumbua ...maana nilikuwa nawaza counter attack za rashford ,toka yupo ole huyu kimbwengo alikuwa anatusumbua
Mimi kukufunga wewe siku hiyo ni lazima kama maraisi wa Afrika kupanda daladala msiba wa malkia, ushindi wako msimu huu wa papatu papatu
 
Eti kile kimbilikimo ndio kikamkabe haaland so masihara hàya...tutapiga asee hizi nyumbu
 
Tumekaa pale tunasubiri mapambio ,ya Ten hag OUT ,

Na wasiwasi huenda hata krismass mkamtimua
Huyu mwamba asingejiongeza basi asingenyanyua hili dude mpaka anakufa.
Bahati nzuri akawahi kushtukia mchongo akaachana na watoto akaja kujiunga na wanaume.
Mpaka kesho akiwa anahojiwa hua anapenda zaidi kuizungumzia Manchester United aliyoichezea kwa misimu miwili tu kuliko Arsenyani aliyoitumikia kwa 8 season's.
Pia hua anajutia na akijilaumu sana kwa kupoteza nguvu zake miaka nane kwa Arsenyani ambako aliambulia kubebeshwa masufuria ya ngao ya hisani.
 
Tumewanyanyasa sana wapinzani mwezi September. October tunaendelea tulipoishia, Pep na genge lake la wahuni wajiandae.View attachment 2372530
Hutu tu kopo mimi hua napenda wawe wanapewa Arsenyani, huaga tunawatia ujinga sana na kuwapumbaza kisha wanaanza kuvimba kichwa na kujiona tayari wameshakua mabingwa.
Wanajisahau halafu mwisho wa msimu wanajikuta wako kwenye kupambania wasicheze Conference league
 
Mmebaki historia TU,

Hivi unajua mnaenda mwaka wa 6 bila taji lolote ,namaanisha hata ngao hakuna


Nitarudi kukumbusha hapa ,Huyu Ten hag Ni mjanja mjanja tu,


Imagine timu imetumia £250m lakin inacheza kwa kuvizia ,

Kulikuwa na ulazima gan wakumtimua Ole sendeka
 
Upeo wako kwemy mpira ni mdogo sana... xavi mpaka leo bdo anatengeneza timu kashachezea sn vichapo
Arteta anafka arsenal kala sana vipigo mpk leo timu ina ahueni
Klopp kaja liver kagongwa sana mpk anakuja kupata mafanikio..

Mpira sio kukata viuno muache kocha atengeneze timu
 
Upeo wako kwemy mpira ni mdogo sana... xavi mpaka leo bdo anatengeneza timu kashachezea sn vichapo
Arteta anafka arsenal kala sana vipigo mpk leo timu ina ahueni
Klopp kaja liver kagongwa sana mpk anakuja kupata mafanikio..

Mpira sio kukata viuno muache kocha atengeneze timu
Hata yule ole sendeka na yule mwalimu wa Klopp na tuchel mlisema wanatengeneza timu, ila mliwatimua
Huyo klopp unayemsema alitumia £177m kuleta Allison ,vvd,fabinho,ox,keita,Salah

Tena baada ya mauzo ya coutinho

Arteta pesa kubwa aliyowahi kutumia Ni £140m ,

Sasa huyu kipara wenu katumia over £200+m dirisha moja tu , timu bado inacheza kwa ujanja ujanja

Kama Klopp ukimpa Sasa £200m+ hata Arteta umpe hiyo £200+m kwa dirisha moja ,timu haiwez kucheza kwa ujanjaujanja Kama kina westham ,
 
Arteta kawapa mafanikio gani hadi umemtaja hapo na klopp mkuu?

Au umesahau tupo wote Europa na mlikuwa juu kwa point nyingi tu msimu uliopita?
 
Arteta kawapa mafanikio gani hadi umemtaja hapo na klopp mkuu?

Au umesahau tupo wote Europa na mlikuwa juu kwa point nyingi tu msimu uliopita?
Arteta kashatupa FA cup, na msimu uliopita mmesahau mlidai Tunashuka daraja ?

Arteta msimu uliopita alipewa malengo awe ndani ya 6 Bora sababu ana install style of play , alipokuwa wa 5 juu ya waliodai Title contender Kina Man u 🤣🤣, Asubuhi aliletewa mkataba Tena

Leo mnajisahaulisha mlileta kina Sancho, cr7,varane mkadai Ni title contender mkaishia kumaliza Ligi na GD0

Arteta ndio msimu wa tatu huu ,ana mataji mawili, na ana muelekeo wakuleta mengine ,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…