Inasemeka tutachukua mmoja wapoAmeandika david ornstein
Manchester United confident of reaching an agreement with Ajax to sign Antony.
22yo Brazil international winger now main recruitment focus for #MUFC;
pursuit of PSV Eindhoven attacker Cody Gakpo believed to have cooled somewhat
Tier 1
Huyo Gakpo wa kawaida saana ,yaani ni kama elanga tu.Inasemeka tutachukua mmoja wapo
Dalili zinaonesha Antony yupo karibu zaidi kusajiliwa
Good move
Wee jamaa hutaki kabsa Mambo ya stress [emoji23][emoji23][emoji23]Mnavyochungulia makundi ya uefa kama mnashiriki vile nyumbu nyie [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Akiwa wa kawaida huko sio gurantee ataendelea kuwa wa kawaida kwetu.Huyo Gakpo wa kawaida saana ,yaani ni kama elanga tu.
Bora antony
HOLD THAT.Hiiz ndio club kubwa duniani ,nioneshe man UTD au arsenal nikuoneshe mbwa anayetaga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2334759
Akiwa wa kawaida huko sio gurantee ataendelea kuwa wa kawaida kwetu.
Kama kocha anamtaka, manake anataka amtumie kwenye formation yake.
Gakpo ni wa kawaida kweli anafanana na elanga pia ni winga wa kushoto sema kwasababu miaka ya n 23 hivyo anaendelea kukuaAkiwa wa kawaida huko sio gurantee ataendelea kuwa wa kawaida kwetu.
Kama kocha anamtaka, manake anataka amtumie kwenye formation yake.
Tusichekane bwana raha ya uefa n kubeba kombe apo mmoja tu ndo atachukua kombe mwisho wa siku wengine watabaki kua wasindikizaji anae cheza europa akibeba anakua na thamani kuliko msindikizajiHiiz ndio club kubwa duniani ,nioneshe man UTD au arsenal nikuoneshe mbwa anayetaga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2334759
Bora muache kwenda tu amna cha maana mnachofanya kule zaidi ya kutia aibu tu nakusikia harufu ya kombe tu.Hiiz ndio club kubwa duniani ,nioneshe man UTD au arsenal nikuoneshe mbwa anayetaga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2334759
Mkibeba Uropa niite Ubwa niko poleeeeeHamna noma ila mwaka huu man u Europe league yetu pamoja na epl
Niny wengine nendeni mkashiriki hiyo uefa bana
Hiyu kunguni mbona anazurula tu kwenye majukwaa hataji timu yake?Mnavyochungulia makundi ya uefa kama mnashiriki vile nyumbu nyie [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona nishascreenshot comment yako, jiandae kuitwa hivoMkibeba Uropa niite Ubwa niko poleeeee
Mtu yeyote alieangalia game vs liver anapata majibu
Man u ya fagasoni imerudi kabisa