Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mchezaji akiwa out of form kitu pekee anachowezq kuisaidia timu ni kukaba, kublock na kutackle hata mashabiki watakukubali kwa hilo ila ndugu Rashford mpaka Ronaldo anarudi kusaidia kukaba yeye anafanya jogging by Owen
 
Mkuu unaheshimika sana hapa JF kwa mambo ya tech, achana na hizo habari za Rashford VS Mbappe. Mbappe yuko mbali sana.
 
Mkuu unaheshimika sana hapa JF kwa mambo ya tech, achana na hizo habari za Rashford VS Mbappe. Mbappe yuko mbali sana.
Hakuna sehemu yoyote niliyosema Rashford ana kiwango kuliko Mbape, kama Ipo Naomba screenshot weka. Napangua tu hizo hoja, huwezi kuangalia Kiwango cha mchezaji kwa Thamani ya Sokoni, Thamani ya Sokoni inaangalia mambo mengi Mshahara, idadi ya Miaka uliobakiza kwenye mkataba, Umri, Unauzikaje kwenye Social media, ugumu wa kupatikana Etc.

Hapo Nimeweka Link kuonesha as of January 2021 Rashford was Most Expensive player In the World, it doesnt mean Ana kiwango Kuliko Ronaldo, Messi, Salah na wengineo.

Na Mfano Hai Tunao Grealish kaondoka kwa 100M, mchezaji Ghali zaidi Epl, Je yeye ndio ana kiwango zaidi Epl? Na west Ham wanataka 150M pound kwa Rice.
 
Jamaa wako kala panga
Sahivi Glazers wameanza kuwa serious.

Richard Arnold anaweza kuwa next kwenye haya mapanga yanayoendelea.

Bado mashabiki wanaamini matatizo ya Man Utd yanasababishwa na Glazers na si vinginevyo.

Nguvu imebaki kwa John Mourtough kwenye kusikuka Man Utd ndani ya uwanja.

Misimu mitatu ijayo tutaanza kuongelea habari za ubingwa.
 
hii habari inaondoa maumivu yote ya kukosa top 4 kama tulichokuwa tunajiaminisha kina ukweli. Huyu mzee kawapa mikataba ya kufuru kina antony martial, rashford, jones , lingard, david degea, n,k kwa mgongo wa ed woodward. I'm happy.
Hiyo mishahara isiende mifukoni kwa Glazers. Wajenge uwanja na kuweka miundombinu bora Carrington.

Japo watu hawawataki Glazers. I'm sure nao wanaondoka soon.

Wampe mwarabu timu.
 
Nimeangalia Mechi jana na Gape nimeliona, huwezi Kulaumu Wachezaji kwa lile Gape, mara moja ama mara 2 utasema maybe wamejisahau ila inatokea zaidi ya mara 20 huo ni mfumo.
Mimi naamini Maguire ni beki mzuri akipata structure nzuri, Sasa kwa structure Kama hi , Ni beki gani hatakuwa matatizoni? DM zote zimeenda mbele , Dimba limebaki tupu

Rashaford LW yupo Right ,yaani vurugu tupu, Ndio maana unakuta Maguire akifata mpira anaonekana anachoma , maana space Ni nyingi zimeachwa ,

Kikawaida watatu wa mbele ndio wanatakiwa wa press , Viungo wazibe njia



 
Chief bhn
 
Who remembers this quote! Patrice Evra: “A sporting director from a top club called me and asked me to tell Matt Judge to answer his phone”
 

Ralf Rangnick to take on new Manchester United recruitment focus with goal of finding the next Erling Haaland​

Recruitment will be "the most important" aspect of Ralf Rangnick's consultancy role at Manchester United; "It's not only identifying those players but meeting them, convincing them to join this club, even though we will not be playing in the Champions League," he says
Friday 29 April 2022 16:03, UK





Play Video - Rangnick on consultancy role: It's all about recruitment now

Ralf Rangnick on his new consultancy role: 'It's all about recruitment

Ralf Rangnick revealed recruitment will be the primary focus of his new Manchester United consultancy role as he explained the need to find and develop "future top, star players" such as Erling Haaland.
The 63-year-old is set to fail in his objective of leading the stuttering club to Champions League qualification but still hopes to leave a lasting legacy at Old Trafford.

Rangnick will switch from United's interim boss to a consultancy role in the summer - a job that will run in tandem with his new position as manager of Austria's national team.

The German has an impressive track record of developing teams, recently succeeding with RB Leipzig and sister club RB Salzburg, and believes transfers are key to providing incoming boss Erik ten Hag that platform to succeed.
"For me, the most important bit is recruitment now," Rangnick said when asked what he will be advising on.


"This is, for me, the most vital point, that we bring in the best possible players and speak about that, who could that be.


"It's not only identifying those players but meeting them, convincing them to join this club, even though we will not be playing in the Champions League.

"This is what I see as the most important bit. Again, also, with regard to top talented players for the academy, identifying those kinds of players."


He would be one of those examples where I think the focus should be on to try and identify and find and then convince players who could be Manchester United players for the next couple of years. Rangnick on Erling Haaland

Asked if United can go back to buying players at the peak of their powers, Rangnick said: "My personal opinion is that the club should try to find future top star players and develop them.
"Again, on the other hand, just tell me five players that might be some of those players that you spoke about."
When Haaland and Kylan Mbappe were reeled off, Rangnick said: "Haaland is a young player. He's 21 or 22. This is one of those players I spoke about.
"But, on the other hand, he has developed in the last two years into one of probably the most expensive strikers in the world.
"But, yes, he could be, he would be one of those examples where I think the focus should be on to try and identify and find and then convince players who could be Manchester United players for the next couple of years."

Rangnick reveals new criteria for Man Utd signings​

Rangnick believes United's support, stadium, and training facilities still make them an attractive proposition irrespective of Champions League qualification.
But that view also comes with a dose of realism given rivals Manchester City and Liverpool are flying high, with the club targeting the "full package" of "mentality, quality, physicality, pace, skills" in new players.
Rangnick says it is obvious that the team needs additions given their struggles and departing players, with Monday's match against Brentford looking to be an Old Trafford farewell for out-of-contract Jesse Lingard, Juan Mata, and Nemanja Matic.
"I would like to (play them) but it's also about getting the best possible result and the best possible performance," he said. "It's not about making any gifts to players.
"Juan Mata played the last 15 minutes, Nema almost the whole game, so it's not about saying farewell to the supporters.
"If that is possible I would do that or I would like to do that, but it's also about getting the best possible result."

Rangnick hopes to have Fred back for Monday's match and captain Harry Maguire may return, while Edinson Cavani - another out of contract in the summer - was due to return to training on Friday.
But the 63-year-old says Jadon Sancho will be absent against Brentford and "might be out for the rest of the season with his tonsillitis".
Asked if Sancho was having his tonsils out, Rangnick added: "It could happen.
"He's definitely got an inflammation on his tonsils and has also had some high temperatures, so that's why he was not available (against Chelsea) and he will most certainly not be available for the next two games.
"Hopefully, they can get hold of that inflammation, and then hopefully if the tonsils have to be taken out and removed this can happen at the end of the season."

 
But that view also comes with a dose of realism given rivals Manchester City and Liverpool are flying high, with the club targeting the "full package" of "mentality, quality, physicality, pace, skills" in new players.

Wachezaji wangapi wa United wenye hii "full package?"
 
Sidhani kama Arnold atakula panga Mkuu so Far inamaanika yeye ndie master mind wa Hichi kinachoendelea, As long as ataachia Football side Ijitegemee na Kutoingilia Atajivua Kivuli cha Woodward.
 
I said same thing mkuu, sisi ndio Woodward ni Mbovu ila Recruitment ya City Sio Mbovu kama wali Prioritise Maguire over Dias waliona Kitu, Msimu uliopita Maguire Alikuwa ni most creative Defender ligi nzima, Ali pre Assist Magoli 11. Kuna Kipindi Alikuwa Asipocheza Tunafungwa.
 
Ndugu zangu samahani sana, wakati mnacheza na sisi chelsea simu yangu ilikuwa chaji
Anyway, nawapongeza kwa ushindi mkubwa mliopata dhidi ya Chelsea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…