Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kocha anakipenda hiki ki Elanga cjui anaona nn.
Hahaha 😂 Boss nakuona, hako ka feeling unakosikia Elanga akipangwa ndiko tunakasikia Ronaldo akipangwa alafu apigwe sub analalamika.

😂😂 Anyway namuombea Ronaldo amtulize chelwowo, haiwezekani Arsenal, Liverpool, Man city, watujazie nzi humu.
 
kuna uwezekano ralf rangnick akatangazwa kuwa kocha mpya wa taifa la AUSTRIA. Ngoja tusubirie hapo kesho FA ya austria itamtangaza kocha yupi, wiki 3 zilizopita FA ya austria ilikanusha habari za kufanya mazungumzo na ralf rangnick lakini kuna chombo habari kimefufua upya uvumi huo mchana wa leo.
 
Sasa huyu Ralph c atakuwa mshauri benchi la ufundi la man u?
 
 
Ronaldo anazidi kuwaprove wrong haters wake.
Huyu jamaa analijua goli vibaya mno ila bahati yake mbaya amekuja na kuikuta timu yenyewe ipo ICU, ila angesajiliwa kwenye timu iliyokamilika kama Liverpool au Man city huyu mwamba lazima angechukua kiatu cha dhahabu na pia ndie angekua mchezaji bora wa EPL 2021-2022.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…