Aziz Ki Mayele
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 899
- 1,955
Eti ni kweli Stev Gerald hua anaota ndoto ya kutwaa EPL akiwa na arm band ya Liverpool mpaka leo? Pity..Sio Bodi ya Manchester tu, kiujumla Kuna kipi kwenye mpira unachokijua wewe kunizidi mimi?
Hakuna nachokuzidi chiefSio Bodi ya Manchester tu, kiujumla Kuna kipi kwenye mpira unachokijua wewe kunizidi mimi?
Anafurahisha sanaWewe jamaa badala ukapambane na Liverpool yako ,upo huku kutoa ushauri bodi ya manyunbu ,hueleweki
Jamaa ameniuliza kipi nachokijua kumzidi ila mambo madogo kama haya kashindwa kupambanua 😂Rashford hata Kesho PSG wanamtaka, na kwangu mimi Level ya Rahford Haipo Mbali sana na Mbape na Haaland, hatujakua tu Stable.
Pia Rashford ni proven Big Game player, Japo sio Striker ila Ana Magoli ya Kutosha Vs Top 6 EPL na Hata Ulaya Ana Goli za Kutosha hizo mechi chache vs Timu kubwa.
Na Hizo hela Wasipolipwa Wachezaji zinaingia mifukoni mwa Glazzer, Man U kuna Hela nyingi sana mkuu, na Ku spend Kote Huko Man U bado ni Katika timu zenye Ratio Ndogo sana baina ya Pato na Mishahara tunayolipa.
Kwa Rashford sikataiMkuu Hii ni Kazi ya Kocha,
-Greenwood Hayupo,
-Rashford kwangu ni key Player,
-Maguire namuachia Kocha,
-AWB ana umuhimu wake ila Kama kocha hamuelewi beki wa Kati anaweza kumreplace role yake.
-Shaw key player, Full back pekee Utd anaejua kukaba na kushambulia.
-lingard anaondoka
-Mc tominay sio lazima aanze mechi zote ila Tunahitaji Uhuni wake
-Sancho Key Player.
ETH aje tu na DM kwa sasa, then Baada ya Hapo Tutajua Mbivu na Mbichi.
Nimemsikiliza sana Ralf kwenye hii press conference, mpaka pre season inaanza nadhani atleast new players watatu mpaka wanne watakuwa washasajiliwa, tusubiri tuone ila naombea sana tupate players wenye kiu na makombe tuachane kabisa na wachezaji ambao washapita sehemu fulani ya mafanikioNimesikiliza Press Conf. ya Ralf.
Naweza kusema usajili utafanyika haraka na mapema ili preseason ETH awe na kikosi chake kamili anachokitaka.
Hakutakuwa na yale mambo ya deadlines.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakubaliana na wewe. Rushford ni proven player na mchezaji mzuri sana na nina amini Ten Hag anaweza kumtengeneza akawa lethal.Rashford hata Kesho PSG wanamtaka, na kwangu mimi Level ya Rahford Haipo Mbali sana na Mbape na Haaland, hatujakua tu Stable.
Pia Rashford ni proven Big Game player, Japo sio Striker ila Ana Magoli ya Kutosha Vs Top 6 EPL na Hata Ulaya Ana Goli za Kutosha hizo mechi chache vs Timu kubwa.
Na Hizo hela Wasipolipwa Wachezaji zinaingia mifukoni mwa Glazzer, Man U kuna Hela nyingi sana mkuu, na Ku spend Kote Huko Man U bado ni Katika timu zenye Ratio Ndogo sana baina ya Pato na Mishahara tunayolipa.
Mzee ina maana wachezaji waliokuja hapo wote hawana kiu na makombe ? Tatizo la United ni biashara na siasa kwenye mpira ,hvyo vitu havichangamani piga ua..... Huyo kocha mtamfukuza soonNimemsikiliza sana Ralf kwenye hii press conference, mpaka pre season inaanza nadhani atleast new players watatu mpaka wanne watakuwa washasajiliwa, tusubiri tuone ila naombea sana tupate players wenye kiu na makombe tuachane kabisa na wachezaji ambao washapita sehemu fulani ya mafanikio
Eti ni kweli Stev Gerald hua anaota ndoto ya kutwaa EPL akiwa na arm band ya Liverpool mpaka leo? Pity..
Jamaa ameniuliza kipi nachokijua kumzidi ila mambo madogo kama haya kashindwa kupambanua 😂
Point 3 zote zako chief.. na ukinifanyia maombezi nitashukuru sana mkuu.. asanteYani we Dogo unahitaji maombezi sasa na sio elimu tena! Baada ya kujiamini kwenye kile unachokiamini umeamua kukimbilia Pumba za Mwanaune mwenzako sio?
Kwahiyo kushakubali kujazwa ujinga kuwa Rashford ni Level za Mbappe na Haaland?
Utoto kweli ni shida.
Umewasaidia ili wasiishie tu kupiga kelele. Wakasign petitionKuna petition ya kutaka Maguire avuliwe unahodha.
Link hii hapa kwa anayeona hafai;
View attachment 2196817
Varane ana kiu ipi ktk ulimwengu wa soka?Mzee ina maana wachezaji waliokuja hapo wote hawana kiu na makombe ? Tatizo la United ni biashara na siasa kwenye mpira ,hvyo vitu havichangamani piga ua..... Huyo kocha mtamfukuza soon
Rashford ni sikio la kufa. Mwisho wa kipaji hapo.Nakubaliana na wewe. Rushford ni proven player na mchezaji mzuri sana na nina amini Ten Hag anaweza kumtengeneza akawa lethal.
Kuna petition ya kutaka Maguire avuliwe unahodha.
Link hii hapa kwa anayeona hafai;
View attachment 2196817
huyu ndo basi ila akipewa muda tena yatamkuta ya maguireRashford ni sikio la kufa. Mwisho wa kipaji hapo.
Ole kashindwa, Ralf kashindwa.
ETH ataweza? Na aina ya uchezaji wake unafanana karibia na wa Pep, Klopp na Ralf aliotaka kuintroduce.
United haina wachezaji wa ku-implement aina hiyo ya mchezo. Wavivu karibia wote hata Ralf alisha-admit hilo.
Bora Bissaka unaweza mpiga makwenzi akaelewa ila sio Rashford.
Sent using Jamii Forums mobile app