Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kane? Duh! Why tusipumzike kwa waingereza tusake kwingine
 
Subiri baada iyo fainali utaona izo habari jamaa alisema ana focus na fainali haitaji kusumbuliwa na izo story
 
 
Kabla Ronaldo tulikuwa na hali gani?
 
Umesoma vizuri?

Nimemkataza kufunga?

Nachosema za way alivyo ni vigumu kupata timu ambayo wachezaji wapo for team kuliko wao binafsi.

Ikiwa kila mtu anataka apate sifa how about our club?

Individual brilliance vs teamwork ipi poa?
 
Maguire kwanza hapaswi kuongelewa in future tense anapaswa kuondolewa ikiwa tuna nia na kuijenga timu ya ushindani. Kumuacha ni kusababisha media za kiingereza kuwaharibu kisaikolojia kina TIMBER wapya wanaochukua no yake.
namuona akivuliwa kinga ya unahodha na baada ya hapo atagombania namba. kwa performance yake ya msimu huu hakuna timu ya maana itakayomuhitaji kwa bei nzuri.
 
kwako wewe ishu ni uingereza au uwezo wake, angalau ungelitumia hoja ya umri wake na majeruhi ingeleta mantiki kwa harry kane. dunia pia ina uhaba wa washambuliaji, chelsea wanatamani kumuondoa lukaku ila what next.
Tatizo mwingereza akija timu kama yetu kizazi hiki media zao zinamkuza kuliko uhalisia kusababisha tusipate tulichokitarajia kutoka kwake, at least tubalance.
 
Umesoma vizuri?

Nimemkataza kufunga?

Nachosema za way alivyo ni vigumu kupata timu ambayo wachezaji wapo for team kuliko wao binafsi.

Ikiwa kila mtu anataka apate sifa how about our club?

Individual brilliance vs teamwork ipi poa?
Nipe ushahidi unaoonesha kwamba cr7 anacheza kwa ajili ya tunzo binafsi, lkn hata kama anacheza kwa ajili hiyo huoni kama anatupa faida kutokana na ku fight kwake? Acheni kukariri hakuna mchezaji asiyependa tunzo binafsi.
 
Man u haieleweki mwaka wa kumi huu usijisahaulishe.
Sababu mojawapo ni

Kununua mastaa wenye ego, from di maria, falcao, to Pogba, Ronaldo, Sancho unategemea nini?.

TIMU INAYOWEZA KUFANYA POA NI ILE AMBAYO INATENGENEZA MASTAA NA SIO INAYONUNU MASTAA.

Simple as that


Ila Mkuu why unahisi namchukia Ronaldo?
Huoni nikiwaongelea Maguire, Rashford, Glazers, pundits ambao ni janga la MAN U.

Okay ngoja niweke wazi msimamo.

Pale United nashabikia timu inaitwa Manchester United. Nataka iwe na ushindani, iwe na mataji, legacy of theater of dreams iendelee.

Haijalishi ni mchezaji gani, akisaidia ushindi i have to appreciate, but MAN U FIRST.
 
Nipe ushahidi unaoonesha kwamba cr7 anacheza kwa ajili ya tunzo binafsi, lkn hata kama anacheza kwa ajili hiyo huoni kama anatupa faida kutokana na ku fight kwake? Acheni kukariri hakuna mchezaji asiyependa tunzo binafsi.
Duh! Okay boss yaishe please naona hunielewi kabisa.
 
hapa me naona pogba anamaana nyengine hasa hii picha ya mkono kama wakuaga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…