buffalo44
JF-Expert Member
- May 8, 2016
- 5,126
- 13,106
May be nina jicho tofauti, Pogba tofauti na mipasi yake eneo analopagwa hana msaada, hahold mpira, hakabi, hatrace vizuri.mbona leo kama kacheza vizuri bruno ulimuona ?
Goli la kwanza mcheki, Dangerous attack za Norwich zicheki kwa kumuangalia movement za Pogba, utagundua hana msaada kulingana na namba alipo, Matic alipoingia tulipata afadhali.
Fred licha ya Madhaifu yake afadhali yeye hapo kuliko Labile Pogboom.
Bruno yeye, toka Ronaldo aje ana Mawenge pass zake dhaifu, au hazina timing inayotakiwa.
Plus MLALAMIKAJI MKUBWA KWA WENZAKE ila anaongoza kupoteza ovyo mipira, kwa kiwango tulichoona kabla ya ujio wa Ronaldo anahitaji kukoromewa atulie, plus wampatie Uleadership kidogo wenzake wawe wanamsikiliza.
Bruno ana faida za kuhamasisha intensity