Manchester United (Red Devils) | Special Thread

mbona leo kama kacheza vizuri bruno ulimuona ?
May be nina jicho tofauti, Pogba tofauti na mipasi yake eneo analopagwa hana msaada, hahold mpira, hakabi, hatrace vizuri.

Goli la kwanza mcheki, Dangerous attack za Norwich zicheki kwa kumuangalia movement za Pogba, utagundua hana msaada kulingana na namba alipo, Matic alipoingia tulipata afadhali.

Fred licha ya Madhaifu yake afadhali yeye hapo kuliko Labile Pogboom.

Bruno yeye, toka Ronaldo aje ana Mawenge pass zake dhaifu, au hazina timing inayotakiwa.

Plus MLALAMIKAJI MKUBWA KWA WENZAKE ila anaongoza kupoteza ovyo mipira, kwa kiwango tulichoona kabla ya ujio wa Ronaldo anahitaji kukoromewa atulie, plus wampatie Uleadership kidogo wenzake wawe wanamsikiliza.

Bruno ana faida za kuhamasisha intensity
 
jurrien timber na antony ndio wachezaji anaotaka kuondoka nao eric ten hag, huyu jurrien timber nimeangalia video zake kwa dakika 3, anafanana na semedo ila huyu dogo anacheza beki wa kati na kulia. nimeona rangnick mechi 3 zilizopita amemuhamisha maguire kutoka kushoto kuelekea kulia, je ni maandalizi ya kumuandaa na maisha ya benchi pindi atakaposajiliwa huyu timber au tutegemee huyu dogo kupelekwa kulia. wale wazee wa utabiri nipeni jibu.
 
SO Boss Unaona ni Sahihi Ronaldo kubaki kwenye mipango ya Rebuild (I am not sure if tumewahi kufanya Rebuild).

Nauliza hivyo maana naona Ronaldo anakiu sana ya kuweka rekodi haijalishi timu ipo wapi muhimu namba zake ziwe juu.

Huoni inaathiri Salary structure ikiwa performance ya wachezaji ikasababisha kudai mishahara.

Mbele tutaweza kuconvert chances zote?
Dressing Room inaweza kuwa pamoja ikiwa mchezaji anasauti kuliko kocha?


Nisaidie hao maswali.


NB. NAPOONGELEA RONALDO HAIMAANISHI RASHFORD, POGBA, MAGUIRE NA MATAKATA MENGINE NAYAKUBALI YABAKI. NO I WANT THEM TO DISAPPEAR.
 
Maguire kwanza hapaswi kuongelewa in future tense anapaswa kuondolewa ikiwa tuna nia na kuijenga timu ya ushindani. Kumuacha ni kusababisha media za kiingereza kuwaharibu kisaikolojia kina TIMBER wapya wanaochukua no yake.
 
Mnaotegemea Ronaldo kuuzwa mtasubiri sana. Siyo EtH wala United wapo tayari kumuona Ronaldo akisepa labda Ronaldo mwenyewe aamue kupokea offer kutoka vilabu vingine.

Tokea hazijaanza tetesi za kocha mpya RR alikuwa anataka apatikane young striker wa ku-partner na Ronnie.
 
Okay 👍👍 Boss.
Let's see tutafika wapi?
With Ronaldo influence.

Sio akifunga hattrick mnaanza kutuponda huku Man U nzima haieleweki.
 
uwepo wake kwa mwaka mmoja hakuwezi kuathiri hiyo rebuilding ambayo pia haiwezi kukamilika kwa mwaka mmoja labda tuanze kufanya usajili wachezaji 10 kwa dirisha moja kama wafanyavyo simba na yanga. Na si kwa ronaldo tu hata kwa hao wengine haiwezekani kuondoka kwa mkupuo ndio maana kocha anahitaji process ya rebuilding ya muda itakayoongozwa na repoti ya kwake ya kitaalamu. Kuhusu mshahara hiyo ni kesi ya viongozi wanaohusika na negotiation wakiongoza na matt judge ndio wanaonyesha udhaifu wa kimkakati na kisera juu ya kuwa na kiwango rasmi cha juu cha mshahara kwa wachezaji. ten hag atawapa nafasi vijana wengi sana watakokuwa tayari kupambana. Wamemgomea rangnick na gengenpressing yake ndio maana tunacheza pira la ole gunnar lakini hakuna atakayethubu kumgomea kocha mkuu mwenye mamlaka.
 
Ronaldo tunakusema lakini unatuokoa sana mkuu tunashukuru sana kwa msaada wako. Ronaldo haiangushi team ila timu inamuangusha Ronaldo.

Hahitaji hata kukaba kama watu huko nyuma wanafanya kazi zao inavyotakiwa akae tu pale washushe cross apige suuuuiu siku imeishaa.
Labda tupate mshambuliaji wa maana msimu ujao sawa Ila kama watabaki hawa kina Rashford ni mara mia 600 aendelee kukaa pale mbele.
 
Okay 👍👍 Boss.
Let's see tutafika wapi?
With Ronaldo influence.

Sio akifunga hattrick mnaanza kutuponda huku Man U nzima haieleweki.
kwa sasa klabu inatafuta mshambuliaji wa kumuondoa taratibu CR7, timu yetu haina nguvu ya kusajili mchezaji anayegombaniwa na wakubwa hivyo haitowezekana kumuondoa ronaldo bila ya uhakika wa kusajili. kipaombele cha klabu ni harry kane na kama itakuwa ngumu wanamuangalia nunez au richarlison.bahati ikianguka kwetu tunakwenda kwa haaland anayewindwa na guardiola.
 
Cr7 ni star tangu kabla hujasema, anaishi na yuko hivyo tangu namjua, kama mtu ana deliver muache aishi atakavyo usimpangie kwasababu anajua anachokifanya, huwezi kumbadili cr7 akaishi kama Kante never, Yani wee unataka kuishi na cr7 kama unaishi na lingard we vp? Shida ya utd ni uongozi na wachezaji waliogeuka mizigo baada ya kupewa pesa nyingi tofauti na uwezo wao.
 
Ahsante mkuu.
Let's see.

Pamoja sana Boss
 
Wasenge hao waingereza wanataka wampoteze ten hag asianze na muingereza mwenzao anayeikost timu kila siku.
 
Mzee sijampangia, hizo sifa ulizosema ndio zinafanya tutake aondoke maana kwa hizo sifa itakua ngumu kucheza soka la muunganiko, mchezaji akikosea shuti mnaaza si angempa Ronaldo, mara mchoyo mpaka mchezaji anakosa kujiamini, Ronaldo akifunga tufungwe blame inaenda kwa wengine yaani collective responsibility inapotea sasa kwa mwendo huo Man U tutafika wapi kisoka? Lini tutacheza kitimu?
 
Darwin Nunez kumuweka na Ronaldo itakuwa tumeongeza Ronaldo mzee kwenye mwili wa kijana.
 
Wewe una wenge mkuu, tulia kwanza mana unaposema rekodi binafsi sijui unataka kumaanisha nini, mtu anafunga na ana njaa ya kufunga ulitaka asifunge kuogopa nyie mtasema anataka tunzo binafsi? Takwimu zimetoka zinaonesha asipocheza Ronaldo timu inazingua, haya ulitaka afanye nini? Acheni kukariri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…